Ukifika Capetown utashangaa sana

Wanapenda chama gani hao?
 
Mbona kama unataka kulia vile kwa jinsi ulivyojieleza
 
Au pia unaweza kuargue "greatness finds greatness" au "talent recognizes talent"

🙂

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kuna kitu hukielewi, Wangoni na wayao wa Tanzania asili yao ni South Africa.

Nitarudi hapa kukupa darasa kuna sehemu nawahi kwanza.
 

Uko sahihi kwa upande wako na jamaa uliyem-quote pia yuko sahihi, in some contexts!

Vipi kuhusu wangoni, vipi kuhusu wa Swahel/swahili, vipi kuhusu wabantu?

For all we know JMT is almost an anonymous collection of run away fugitives/slaves/natives of certain nations/cultures/nativity/(chimbuko),(asili), etc

Kwa kiasi fulani hoja yake imesimama na inafikirisha!

***Could be a great paper for masters & PhD & stuff!

Just my opinion Chief, let the fact file grind naturally!, Please.
 
Coloureds ndio akina nani?
 
wanaijo ishu zao nini hasa hapo sauzi mkuu
 
Acha Uongo mkuu unajuwa maana ya Asilimia 80%?Pia ina maana ujaona wabongo wakifanya kazi nyingine zaidi ya hayo Madawa?Sumtime usiwapotoshe watu.
Wapo wengi sana wapo saloon ila watu washakariri wengi walioko uko ni wauza madawa
 
Hivu mkuu, nauli mpaka South ni kiasi gani??

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Indeed!

Liko Jambo hapa!

Could be the reason we effortlessly connects with everybody!?


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Panda na table mountain u enjoy jiji la Cape
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…