Hayandiomaisha
Member
- Oct 1, 2013
- 30
- 10
Kuna people kazi yao kuponda kuwa kinyume na ukweli utasikia wanawake wa kuoa ni darasa la saba au form four eti wenye degree hawana unyenyekevu.
Watu wanaisupport tu. Utasikia wanawake wanene hawajui kukataa wanaume, mara wembamba ni michepuko, kuna vitu vingine ni ushamba eti kabila fulani hawajui mapenzi.
Naamini humu wasomi ni wengi so acheni hayo mnayoyafanya.
Watu wanaisupport tu. Utasikia wanawake wanene hawajui kukataa wanaume, mara wembamba ni michepuko, kuna vitu vingine ni ushamba eti kabila fulani hawajui mapenzi.
Naamini humu wasomi ni wengi so acheni hayo mnayoyafanya.