BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
*UKIELEWA MAZURI YA BIMA YA AFYA KWA WOTE, HUWEZI TENA KUPINGA MPANGO HUU WA SERIKALI.
Leo kwenye Gazeti la Tanzania Leo nimeuchambua Mpango wa Serikali wa kuja na Bima ya Afya kwa wote ambao utawawezesha Wananchi wote kupata huduma za matibabu hata kama hawana fedha na kuokoa Watanzania wote na maskini wanaoshindwa kumudu gharama za matibabu. Muswada wa Bima ya Afya kwa wote utapelekwa Bungeni na Wizara ya Afya kesho Alhamisi, kujadiliwa kabla ya kupitishwa na kuanza kutekelezwa kwa kuhakikisha Watanzania wote wanakuwa na Bima.
Matibabu bila Bima ni gharama sana na wengi wamekuwa wakishindwa hivyo kupitia Bima ya Afya kwa wote, Watanzania watapata huduma bora kuanzia ngazi ya zahanati hadi Taifa. Soma Makala hii uone Mpango huu ulivyo na nia njema kwa Watanzania kwa kupata uhakika wa matibabu na kuondoa mambo ya kuuza mali na kufilisika kisa ugonjwa.
Bwanku M Bwanku.
bwanku55@gmail.com.
Leo kwenye Gazeti la Tanzania Leo nimeuchambua Mpango wa Serikali wa kuja na Bima ya Afya kwa wote ambao utawawezesha Wananchi wote kupata huduma za matibabu hata kama hawana fedha na kuokoa Watanzania wote na maskini wanaoshindwa kumudu gharama za matibabu. Muswada wa Bima ya Afya kwa wote utapelekwa Bungeni na Wizara ya Afya kesho Alhamisi, kujadiliwa kabla ya kupitishwa na kuanza kutekelezwa kwa kuhakikisha Watanzania wote wanakuwa na Bima.
Matibabu bila Bima ni gharama sana na wengi wamekuwa wakishindwa hivyo kupitia Bima ya Afya kwa wote, Watanzania watapata huduma bora kuanzia ngazi ya zahanati hadi Taifa. Soma Makala hii uone Mpango huu ulivyo na nia njema kwa Watanzania kwa kupata uhakika wa matibabu na kuondoa mambo ya kuuza mali na kufilisika kisa ugonjwa.
Bwanku M Bwanku.
bwanku55@gmail.com.