Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,043
Naam! Ukichelewa kuoa unapunguza muda wa maumivu na mateso ya kujitakia bila sababu! Kama ni watoto utawapata kwa single mother!
Nikifikisha miaka 45 ndio nitaanza kujifikiria kama kutakuwa na ulazima wa kuoa ama hapana! Kama waliooa wake zao kila siku wanapishana maghetto ya wajuba mimi ni nani nikimbilie.
Usinunue kitu ambacho unaweza kupata bure.
Pia soma: Kwani lazima kuoana?
Nikifikisha miaka 45 ndio nitaanza kujifikiria kama kutakuwa na ulazima wa kuoa ama hapana! Kama waliooa wake zao kila siku wanapishana maghetto ya wajuba mimi ni nani nikimbilie.
Usinunue kitu ambacho unaweza kupata bure.
Pia soma: Kwani lazima kuoana?