Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,427
Hakuna tatizo, tena una uwezo wa kuuteka moyo wake kama utaplay part yako na atakupenda kwa dhati kweli.Hivi kwani mwanamke akikupendea pesa na kweli uko nazo,kuna tatizo lolote hapo?
Hakuna tatizo, tena una uwezo wa kuuteka moyo wake kama utaplay part yako na atakupenda kwa dhati kweli.Hivi kwani mwanamke akikupendea pesa na kweli uko nazo,kuna tatizo lolote hapo?
Hakuna umri unaokulazimisha kuoa kuowa si lazima ni maamuzi binafsi ya mtu.Kuoa au kuolewa ni jambo linalozingatia mambo mengi sana na sio umri peke yake.
Unapojikuta umri unakulazimisha kuoa jichunguze zaidi
Jibu rahisi sana wanawake ni wengi kuliko wanaume kifupi tunaweza kuoa wanawake watatu na tusiwamalize.Umewahi kujiuliza ni kwa nini hao mabinti wapo tu wenyewe?
Umeongea vema sanaKuoa au kuolewa ni jambo linalozingatia mambo mengi sana na sio umri peke yake.
Unapojikuta umri unakulazimisha kuoa jichunguze zaidi
Kama unatumia kigezo cha umri pekee kuoa ujue wewe unatumia akili yako kwa kama 25% hivyo jitafakari!Kuna imani flani imejengeka kwa vijana wenye umri kuanzia 25-35 kwamba mwanaume umri wowote anaweza kuoa hata akichelewa hamna shida ataoa it's true kuoa mwanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yake ni ngumu sana
1.At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye umri kuanzia 29 hadi 39 hapo lazima apate singo mazaa
Tunatishana Sana Ndugu ZanguHaya mambo bwana
Ya Nini, Kuombea MvuaNgoja nifanye maombi kwanza
Tunatishana Sana Ndugu Zangu
Hivi kwani mwanamke akikupendea pesa na kweli uko nazo,kuna tatizo lolote hapo?
Umeongea point Sana Mkuu.Kunywa balimi saba,pesa nitalipa.Kuoa mapema ni jambo jema sana ikiwa umejipatia Mke mwema.
Kupata watoto mapema ni jambo jema zaidi, japo ni neema zake Mungu.
Maisha hayana kanuni, Mungu ndiye Dereva sahihi wa maisha yetu sisi Binadamu.
Mhhhh!!!,Mkuu Naona umemind kinomaYani katika uzi wa kipumbavu nliowahi kusoma huku JF ni huo upuuzi umeandika hapo juu... unayawekea mapenzi fomula... nani amekwambia mapenzi yanakanuni kama hizo unazopotosha nazo jamii... nimeshuhudia miaka 50 wanaoa, wanazaa, na wanafurahia maisha itakuwa miaka 40...nmeshuhudia wadada wanaolewa miaka 40+ na wanaume mika 30 na wanaheshimiana na kupendana vizuri kabisa... fanya utafiti sio unakurupuka kuandika tu vile unajiskia, hii ni Forum ya jamii usipotoshe umma
Ivi kuna mwanamke katika hii dunia ya leo yupo tiyali afikishe miaka 35 akiwa yupo single eti akae asubili mwanaume mwenye umri wa miaka 40Kama unatumia kigezo cha umri kuoa ujue wewe unatumia akili yako kwa kama 25% hivyo jitafakari!
Watu wa kuoa na kuolewa wapo umri wowote na rika zote. Wapo wadada wazuri sana tu at 35yrs bado wapo single na Kumbuka kujiuza ni tabia ya mtu na sio tabia ya jumla.
Usilete dharau kwa mambo usiyokuwa na elimu nayo