Ukianza kumtongoza Mwanamke na akakukubali haraka, jitathmini!

Ukianza kumtongoza Mwanamke na akakukubali haraka, jitathmini!

Nyuzi nyingine zinipite tu sina ta cha kuchangia apa, thinking out loud.

Hivi kwa maisha yalivo resi maninja wanawaza mitongozo ebanaee
 
Kingine ni either ana maradhi hasa HIV, hawa huwa hawaringi hata awe mzuri kiasi gani, njaa nayo humfanya mwanamke awe rahisi, unakuta anacheza michezo ya kupeana fedha, yako VICOBA lazima atoe tu nyapu ili kupata fedha za marejesho
 
Ni kweli, lakini mwanamke na yeye ni binadamu, kuna ile umekutana na mwanamke hata bila kumsemesha anapata mchecheto, hakujui humjui. Mambo hayawi mengi kwenye scenarios kama hizo mkuu.
Tatizo ni kwamba wanaanza kuomba pesa nao kwa hiyo inakuwa ni mchanganyiko mtupu, mtu anabaki hajui kama amekubalika au ni pesa tu inatakiwa😁.
Inatakiwa wakati wakimzungusha mtu wasiombe pesa.
 
Hiyo ndo principle mating demand ATP. Ukimtongoza mwanamke akakukubali haraka jua kuna kitu hakipo sawa either una kimojawapo kati ya hivi

1.Una pesa

2.Mfanyakazi

3.Kastaafu umalaya anatafuta wa kustaafia

4.Anataka ndoa ili amiliki mali ulizo nazo wale pamoja na watoto wake ili wewe upigwe chini

5.Amekuona una akili ndogo

My bro huyo hajafuata upendo wako
Sikuhizi bado mnatongozana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom