Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
Leo katika pita pita zangu K/koo nikagongana na binti mmoja ambae nilikuwa nammega 3yrs ago nilimwacha baada ya kuona level tofauti lakini yeye alining'ang'ania sana twendelee. Leo hii uso kwa uso nae akanifanyia fujo na matusi juu jamani mtu ukiachwa au kuachika ni lazima umfanyie mwenzio vitimbi? Amenifedhuri kweli wapwazi