jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana
karibu sana
jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana
karibu sana
Hii thread imenichekesha sana, imenikumbusha jamaa mmoja alikuwa anatoka na mke wa mtu akawa anasuburi waachane achukue jumla - yaani kama fisi anasubiri mkono uanguke! kichekesho zaidi yule dada aka conceive, jamaa akaamini mimba ni yake akaanza kutoa huduma kamili, akapangisha nyumba na kuijaza ma ozendi ya nguvu kumbe anatapeliwa tu yule dada akamuwe kamdogo wake kwenye ile nyumba yeye anaendelea kuishi na mume wake, pale akawa anaenda tu kukutana na yule jamaa.
Alipoona mimba inakuwa binti hajaachwa akaenda kwa wazee kutaka ushauri wamsaidie kudai mimba yake kwa mke wa mtu. Mzee mmoja akamwambia nimewahi kukutana na mapunguani lakini wewe ni shehe wao!
Duh! Huyo jamaa ana kichaa, yaani ukadai mimba yako uliyompa mke wa mtu?
mimi ndo nimeachika sasa hivi sasa uni PM tuanze mchakato
usiogope mi nahudumia huduma zote best ipi waitaji??