mpushi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 280
- 76
Napenda kutoa taarifa ya tukio la utekaji wa kijana Narsisi Masama wa kijiji cha Galu Ukerewe uliotokea siku ya jana kijijini hapo uliofanywa na Askari wa Jeshi la polisi anaefahamika kwa jina la Asante Simon wa kituo cha polisi Mriti Ukerewe.
Askari polisi huyo pamoja na wenzake walitumia gari ndogo binafsi inayomilikiwa na Mwl Revocatus Moi wa Kijiji cha Masonga Ukerewe.
Kusudi la kuandika uzi huu ni kuomba msaada ndugu yetu aachiliwe au afikishwe kwenye vyombo vya sheria kihalali kama kweli anakosa badala ya kumshikilia isivyo halali sehemu isiyojulikana.
Tumefanya juhudi za kumtafuta vituo vyote vya polisi ukerewe bila mafanikio.
Tunaomba RPC Mwanza utusaidie katika hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Askari polisi huyo pamoja na wenzake walitumia gari ndogo binafsi inayomilikiwa na Mwl Revocatus Moi wa Kijiji cha Masonga Ukerewe.
Kusudi la kuandika uzi huu ni kuomba msaada ndugu yetu aachiliwe au afikishwe kwenye vyombo vya sheria kihalali kama kweli anakosa badala ya kumshikilia isivyo halali sehemu isiyojulikana.
Tumefanya juhudi za kumtafuta vituo vyote vya polisi ukerewe bila mafanikio.
Tunaomba RPC Mwanza utusaidie katika hili
Sent using Jamii Forums mobile app