1. utakuwa huandaliwi vizuri.
2.au anakuingilia harakaharaka.
3.uke unakuwa mkavu,huna majimaji ya kutosha.
NB; huyo mwanaume ndio mwenye shida na wanaume wengi wako hivyo,tena unakuta anafanya fasta,akishakojoa,kamaliza,wewe hata hujafika popote
Fanyia utafiti ishauri wako !,