UKAWA, Wenzenu CORD KENYA Wamefanikiwa Tume huru

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,561
2,857
Nimefuatilia taarifa ya Habari CITIZEN inaonyesha CORD na JUBILEE Wamefanya makubaliano ya kufanyia marekebisho ya Tume yao ya uchaguzi. Kila upande unatoa wajumbe saba wanafanya mchakato wa kuwaondosha makamishna wa Tume yao na kuisuka upya ili itende haki.

Ukawa mnaandika lakini? katiba mpya yenye Tume huru ni muhimu kuliko kulinda kura mita miamoja.
 
Hao CORD wanapiga sarakasi, ushindi wa uraisi ni strategic za ukabila, Uhuru ni ndiye raisi Tena . Raila hicho kiti hasahau
 
Wapo busy kukataza Mababy wao wawachunia wana CCM hadi Anatropia anamvua kovia Baby wake Mlinga
 
Back
Top Bottom