Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Wewe kama unajifanya hodari jaribu ushughulikiwe!! Badala ya kujishughulisha kwenye shughuli za maana unabwia viroba kuandika upuuzi wako!!Haya ndio mawazo ya kidikteta, Rais hana mamlaka unayodhani anayo.
Tuna mihimili mitatu, Bunge, serikali na mahakama, ni hasara kwa Taifa kuwa vijana wenye upeo finyu na dhaifu kama wewe. Hopeless kabisa.
Wewe siyo level yangu hapa JF, nakupuuza bure tu.Wewe kama unajifanya hodari jaribu ushughulikiwe!! Badala ya kujishughulisha kwenye shughuli za maana unabwia viroba kuandika upuuzi wako!!
Huyo anayedhani kuwa ni Dictator Uchwara aje mahakamani na apinge kuwa yeye sio Dictator Uchwara!Hili neno "DICTATOR" lafaa kupigwa marufuku hapa jukwaani. Hatuwezi kuendelea kumdhihaki rais kiasi hiki.
Ulishawahi kujiuliza kwanini Zitto mbwembwe zake hazisikiki tena ndiyo utajua Magufuli ni nouuuumeeerHuyo anayedhani kuwa ni Dictator Uchwara aje mahakamani na apinge kuwa yeye sio Dictator Uchwara!
Sasa unapinga nini?Ulishawahi kujiuliza kwanini Zitto mbwembwe zake hazisikiki tena ndiyo utajua Magufuli ni nouuuumeeer
Lime kuuuuuuuma eeeehHili neno "DICTATOR" lafaa kupigwa marufuku hapa jukwaani. Hatuwezi kuendelea kumdhihaki rais kiasi hiki.
umejuaje km na mimi sio mmojawapo wa Mawakili hao 17.Acheni kutumika km mapulizo ya kiume.Ukuu wa Wilaya umeshapita unahangaika na nini sasa?.au hizo buku 2Mwenzako Lissu anatetewa Na Mawakili 17 Na wote wanalipwa Na Chama....
Sasa sijui wewe utasimamisha Mawakili wangapi Na huku chama hakikutambui.!
Kiongozi wetu kuteua sio kazi, maana inaanza kuonekana akiteua au kutimua ndio kafanya kazi.Please muwe na ADABU... neno DICTATOR lisitumike kumchafua Rais wetu Magufuli..!! Mh. Rais hajawahi na sio DICTATOR..!!❌❌❌❌
Hii ndio jina kweli la kumuita Rais wetu aliyechaguliwa kwa kura za wananchi..? Inaudhi sana...❌❌❌❌
Hivi mnajua DICTATOR yukoje..? ✂✂✘✘ Lissu kaniudhi sana kwa kweli...
Mh. Rais Magufuli kapatikana kwa njia ya demokrasia, kwa kupigiwa kura, na yeye ndio Rais halali kwa mujibu wa Katiba yetu, kaunda SERIKALI halali, na anawatumikia WANANCHI WOTE bila kujali vyama, dini, rangi, kabila au wanaompinga hadharani majimbo yao yamepewa budget inayostahili...!!
KUZUIWA kwa MIKUTANO YA HADHARA ndio UKAWA kweli muuanze fujo, dharau, vurugu, kumtukana Rais ni DICTATOR, kisa kuzuiwa kwa mikutano ya HADHARA..?
Kampeni zilishaisha, period, aliyepata kuchaguliwa kapewa kijiti, aliyekosa ajipange baada ya miaka 5 kaombe kura... sasa ni wakati wa KUPIGA KAZI... kutimiza ahadi za wananchi... ila sio sasa hv kuanza KAMPENI na mikutano ya HADHARA, maendeleo yatafanyika saa ngapi.?
Mh. Rais Magufuli, piga kazi... wakisusa wewe ongeza speed, matokeo yataonekana SOON, na WANANCHI WATAONA... usife moyo... twende tuko nyuma yako...!!
Kazi kutafuta fujo tu.....!!
The opposite is true.UKAWA wanatakiwa wafikirie matokeo ya maamuzi wanayofanya na waachane kufanya mambo kwa mazoea. Mgomo waliounza bungeni sasa hivi unawamaliza. Kwa haraka haraka mtu anaweza kudhani wamegoma kuhudhuria hafla Ikulu lakini ukweli walijua kama wangeenda kwenye mnuso wakati wametoka bungeni ingeleta picha mbaya. Kwa maneno rahisi, kususa bunge kunaanza kuathiri nafasi ya UKAWA kuhudhuria mambo mengine ya kitaifa.
Sasa huko tuendako watamalizaje huo usanii wa kususa?
Nyinyi ccm mmepotea na mbaya zaidi hamjui kuwa mmepotea kwahiyo subirini mviringishwe na chatu ndio mjitambue.Mtasubili sana nyie UKAWA, jueni kuwa mmepotea
Litaandikwa indirectly.......Hili neno "DICTATOR" lafaa kupigwa marufuku hapa jukwaani. Hatuwezi kuendelea kumdhihaki rais kiasi hiki.
Wagome mpaka 2020Dar es Salaam. Vyama vya upinzani vimesusia hafla iliyoandaliwa Ikulu kwa ajili ya Rais Paul Kagame wa Rwanda.
Rais John Magufuli alikuwa ameandaa dhifa ya kitaifa kwa ajili ya mgeni huyo ambaye aliwasili nchini juzi kwa ziara ya siku mbili, iliyohusisha kufungua Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam.
Baada ya kuzindua maonyesho hayo, Rais Kagame aliandaliwa hafla hiyo ambayo ingeweza kumkutanisha na viongozi wengine wa kisiasa na wafanyabiashara, lakini hali ikawa tofauti baada ya viongozi wa vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa kutoshudhuria.
“Kuna mgogoro huo wa kuzuia mikutano ya hadhara, lakini hawajali. Suala la Zanzibar, watu wanakufa lakini hawajali, bungeni kuna mpasuko kwa muda wote lakini hawajali,” amesema Mwenyekiti wa Chadema, Freeman
Mbowe, ambaye ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na mbunge wa Hai akizungumzia uamuzi wao wa kugoma.
Kweli kabisa. Kama unatofautiana na Rais kwa jambo fulani zungumzia hilo jambo. Siyo kumwita "dictator". Ni sawa na kutokubaliana na mzazi wako kwa jambo fulani. Huwezi kuanza kumpandikizia vineno vya kijinga. Huyu ni Rais ambaye alichaguliwa na wengi hata kama wewe hukumchagua. Hiyo ndiyo demokrasia: wengi wape.Hili neno "DICTATOR" lafaa kupigwa marufuku hapa jukwaani. Hatuwezi kuendelea kumdhihaki rais kiasi hiki.