UKAWA wamchokoza Rais Magufuli

UKAWA wamchokoza Rais Magufuli

Acha kutuletea pumba zako banaaa, kama huna cha maana cha kuandika kaa kimya. Huwezi kuiongoza Tanzania ya 2016 kwa sera za kukurupuka na udikteta.
Haaaa Ni maumivu ya muda
 
UKAWA hawaeleweki sasa......wamebaki kuhangaika tu............JPM anawanyoosha..........sasa hivi hakuna hata ile mialiko ya kwenda kunywa kahawa ikulu......Poleni sana wanafiki wakubwa nyinyi.
Hao ccm wanao eleweka wamefanya nini zaidi ya kulialia juu ya maslahi yao?
 
Mtanyooka tu kenge nyie.mlimdharau jk mpaka mkawa mnamtukana hadharani,sasa kiboko yenu imepatikana.
Utakua una Umri mdogo sana alafu Unatumia cm aina ya tecno IQ yako iko chini mno
 
Mmmh hiz chuki tunazozijenga..itafikia hatua mtu anafariki wengine wanasherehekea..au tunaombeana mabaya..
 
Lkn hakuna marefu yasiyo kuwa na mwisho,akamuulize samuel sita leo yuko wapi?
Yeye alijikaanga mwenyewe bunge la katiba ata bunge live kukataa kuonyesha kutakua na impact kwenye uchaguzi wao wanaona eti uchaguzi uko mbali
 
Uamuzi tofauti ndani ya muda mfupi aliofanya spika unadhihirisha kuna jambo ama la kuelekezwa ama la kulipa kisasi dhidi ya waliomgomea. ni kama mieleka uanpigwa chini halafu hunakusanya nguvu na wewe unambwaga adui chini. Ni uamuzi wa hasira
 
Yeye alijikaanga mwenyewe bunge la katiba ata bunge live kukataa kuonyesha kutakua na impact kwenye uchaguzi wao wanaona eti uchaguzi uko mbali
Ni kweli kabisa mkuu, naona magu ameamua kuisaliti ccm
 
Halafu kuna mtu anasema eti kaleta nidhamu Serikalini. Halafu kwa jinsi alivyo na visasi kaamua kupunguza bajeti ya CAG kwa 50%. Sasa utadhibiti vipi ufisadi nchini wakati unampunguzia CAG uwezo wake wa kufanya kazi kwa kukata bajeti yake kwa 50%?
Nashindwa kupata nia halisi ya magu juu ya ushindi wa ccm mwaka 2020
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nowadays hawa ukawa siwaamini kabisa.. Niliwaamini kipindi cha katiba sasa hivi nawaita ni umoja wa kususa.. Yaani yule dada anawakimbiza kinoma na kanuni kazisimamia hadi wanaombapo
Wewe anakuamini nani?
 
Watapora tu Mkuu, ndiyo sababu wakaichakachua rasimu ya Tume ya Warioba.

Nashindwa kupata nia halisi ya magu juu ya ushindi wa ccm mwaka 2020
 
Watapora tu Mkuu, ndiyo sababu wakaichakachua rasimu ya Tume ya Warioba.
Naona matendo anayo ruhusu kufanywa na serikali yake ni sawa na kuichonganisha na watanzania
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Baba ***** anahemka sana. Inabidi atulie . aliache Bunge liwe huru. Halafu Mamlaka ya Rais kuteua wabunge yawekewe kikomo kwa wateule hao kutokuwa Spika au Naibu Spika. Huyo mama Tulia hana cha kupoteza kwani siku zote atamtetea Rais. Na yeye ndio Jimbo lake. Yule mama Sio political leader, ni employee wa Ikulu.
yaani Jimbo Bi Tuli ni I.K.U.L.U!?
 
Back
Top Bottom