Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,592
- 777
Wandugu kuna tetesi kuwa UKAWA wameingia hasara kubwa sana katika harambee iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Waalikwa waliojitokeza kwa kuchangia Harambee husika walikuwa wachache sana na inasemekana ilipatikana milioni ishirini tu! Gharama za ukumbi peke yake pale !limani City ni milioni 30, na chakula cha waalikwa ilikuwa kama milioni 20.
Kina TAMKO , chakii , TeamLowassa , kbosho , japanese , Watu8 , Mzee kabwelana wengine wengi hawakujitokeza kuchangia.
Hivyo UKAWA imebugi na kuingia hasara kubwa, na hilo ni trailer ya 25 October 2015.
Watalijua Jiji.
Ukawa wanachokifanya pale ni money laundering, ili waingize pesa chafu, ukweli huwezi pata mabilioni kwa staili ile. Hela za mafisadi zinaingizwa sasa.