John Pombe Magufuli
sipigi tena maana naona pool zimekiwa nyingi huumu ndani kama vipi jitangazieni ushindi tuendelee na nyuzi za maana
Kutokana na mvutano kuhusu matokeo ya utafiti uliotolewa na twaeza sasa andika jina la mgombea wa uraisi utayempa kura yako kama uchaguzi ukifanyika leo.
Tutapiga kura kwa siku tatu tuone nani kapata nini.
Ukiona watu wanalalamika jua kweli mtu wao mgonjwa
Acha goli lamkono kura mara moja.
ukijua kumchagua lowassa usifikiri unajua kila kitu. zipo taratibu za kutafuta maoni kuhusu uchaguzi.Tumeamua kumaliza ubishi na mijadala juu ya kura ya maoni baina ya wagombea hawa wawili.
Mods naomba muweke mfumo wa kupiga kura ili members wasirudie mara mbili.
Mwisho wa kupiga kura ni Jumamosi tarehe 26 saa 12 jioni.
Ukiona watu wanalalamika jua kweli mtu wao mgonjwa
Huo hauwezi kuitwa utafitı bali poroja.Lazıma kuwe na sample ambayo imekizi vigezo.Wengi wenu nı Chagas ambao wanapgana apatikane mtu atakayewafanya wazidi kupora taifa hili.