Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
unapiga kura mara ngapi?
Mara Zote Ninazotaka Mimi Hadi Bundle Liishe Au Uzi Ufutwe
unapiga kura mara ngapi?
Duh kweli kumbe gamba Tony anthony kapiga kura 10 mwenyewe!!
Tumeamua kumaliza ubishi na mijadala juu ya kura ya maoni baina ya wagombea hawa wawili.
Mods naomba muweke mfumo wa kupiga kura ili members wasirudie mara mbili.
Mwisho wa kupiga kura ni Jumamosi tarehe 26 saa 12 jioni.