UKAWA tuache Kuzomea Wavaa Nguo za CCM

UKAWA tuache Kuzomea Wavaa Nguo za CCM

Sio tatizo lako bangi ndio zinakusumbua.

Ukiacha kuvuta bangi na kunywa viroba utaona mabadiriko makubwa sana.

ahsante sana mtoa uzi. sio vzuri kabisa na ni ishara ya uvunjifu wa amani.binafsi sijawahi kuzomea mtu. ila nilishuhudia watu kadhaa wakizomewa. kiukweli nilifarijika sana. nilijisikia vizuri sana kuona wanaccm wakizomewa. lakini nakiri kuwa sio jambo zuri hasa kwa nchi yetu hii tamu.
 
Bahati mbaya hao wanaozomea hawajajiandikisha kupiga kura.

wengine wamejiandikisha kabisa. japo ni kweli inatia uchungu kuona lijitu linashabikia chama kiovu hadi kufikia kuvaa milapulapu ya kijani/ njano, lakini naunga mkono hoja kuwa sio jambo zuri hata kidogo. ni mfano mbaya hasa kwa nchi hii inayohehimika.
 
Bahati mbaya hao wanaozomea hawajajiandikisha kupiga kura.
Wamejiandikisha,ni wapenda mabadiliko,nawaunga mkono kwa hilo,ila hili la kuzomea maccm mepesi siungi mkono,tutashinda kwa mikakati,siyo kwa kuzomea maskini wenzetu
 
Mi nadhani ktk democracy hili la zomea halina nafasi ingekuaje miaka ya 2000 km magamba wangeyafanya haya c tungesema wanafanya kwa 7bu wao ndo watawala???? Tuache siasa za chuki

Kuna uwezekano hukuwepo miaka hiyo!!
Lakn mie nakumbuka ukiwa mpinzan unakuwa kama gaid kwa ccm!!
Hata juz tu mwigulu alikuwa anatuita wapinzan magaid!!
Hebu uwe mfanya kaz than weka msimamo wako hadharan uone kama utapanda cheo kama hujaishia kushushwa cheo
 
Naunga mkono hoja kwangu wazazi na wife ni CCM, ili UKAWA I were kukabidhiwa nchi hiya October 25 lazima kwanza ithibitishe uwezo wa managing political diversity kwa sababu 90 % ya watumishi wa umma ni CCM. 99.9% ya vyombo vya ulinzi ni CCM we have to take them on board and live with them.
Pasco[/QUOTE Pasco mabadiliko yataletwa na watumishi wa umma na vyombo vya ulinzi vya ccm ambavyo wamechoka na huu ugumu wa maisha unaoendelea mwaka huu lazima ccm iondoke madarakani .
Mabadiliko kamwe hayataletwa na watumishi wa umma mana wana uhakika na life class ya chini kabisa ndo ya kubadilisha kila kitu mana ni waathirika wakubwa. Kwanza watumishi wengi wanaogopa Ukawa kupewa nchi wanao fia nafasi zao. Ni waoga tofauti na boda boda mama ntilie wanao onja joto ya jiwe.
 
Last edited by a moderator:
Sasa km ishu kafanya mwigulu ina uhusiano gani na hawa raia wenze2 wanaovuja jasho huku na huko kujitafutia riziki si bora ulipize kwa mhusika na familia yake????kiufupi inakera siasa hizi ni za uadui na uhasama haipendezi ni bora km mtu amevamia mku5 ndo hilo lingechukua nafasi yake
 
Mwigulu alivisha mbwa bendara ya CHADEMA..ukikumbuka jambo kama hili lazma uzomee
 
Imekuwa kero sasa hususan katika miji mikubwa kuona au kusikia zomea zomea kutoka kwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa muungano UKAWA kwa wananchi wanaopita mitaani hali wamevaa nguo za CCM. Hili la kuzomea si sahihi kwa kuwa sio lazima wote tuwe wana UKAWA. Tuwasamehe na kuendelea kuwa wastaarabu kwa kuwa tunafanya kampeni za kistaarabu.Najua ni vigumu kuendelea kuona nguo za ccm au ccm yenyewe lakini mwisho wa yote tutaishi ndani ya Tanzania yetu tukiwa tofauti kiitikadi japokuwa ccm watakuwa wachache sana ama hakuna kabisa. Tuwaache na ubaya wao na maangamizo ndani ya mioyo yao kwa kukataa ukweli wa kukataliwa na wapenda mabadiliko. Suluba ya UKAWA inawatosha tusiwaumize zaidi.
tutayazomea mpka yakome. na wewe kama ni gamba basi kesho vaa kijani uone
leo kuna gamba lilipita stendi ya mkoa pale ubungo limezomewa kinoma likapanda daladala za K/koo kuingia ndani ya daladala watu wote wakalipuka kulinanga hilo gamba mpk tunafika k/koo linapewa vitu vyake. liliposhuka watu wa chini nao wakaanza kulizomea
 
Kwakweli hii issue nilidhani ni porojo tu lkn leo nimeshuhudia mwenyewe mwana CCM akizomewa pale Ubungo!
Kwanza nilidhani ni Mwizi! Lkn baadae ndio nikajua kumbe anazomewa Kwasababu ya nguo za CCM!
Hii ni hatari sana
 
Siwezi kuvumilia najikuta tu nazomea.

Ukikaa maeneo ya Kariakoo halafu ikajitokeza hali hiyo ni vigumu kujizuia, unajikuta na wewe umeingia kwenye list tena mstari wa mbele kuliko alieanzisha! Uzuri tunawazomea hata mbele ya Polisi ilimradi tu awe amevaa kiraia! Hata ukienda kushtaki kwanza husikilizwi kwakuwa Polisi wenyewe wamechoka kutetea jambazi!
 
Imekuwa kero sasa hususan katika miji mikubwa kuona au kusikia zomea zomea kutoka kwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa muungano UKAWA kwa wananchi wanaopita mitaani hali wamevaa nguo za CCM. Hili la kuzomea si sahihi kwa kuwa sio lazima wote tuwe wana UKAWA. Tuwasamehe na kuendelea kuwa wastaarabu kwa kuwa tunafanya kampeni za kistaarabu.Najua ni vigumu kuendelea kuona nguo za ccm au ccm yenyewe lakini mwisho wa yote tutaishi ndani ya Tanzania yetu tukiwa tofauti kiitikadi japokuwa ccm watakuwa wachache sana ama hakuna kabisa. Tuwaache na ubaya wao na maangamizo ndani ya mioyo yao kwa kukataa ukweli wa kukataliwa na wapenda mabadiliko. Suluba ya UKAWA inawatosha tusiwaumize zaidi.
hivi watu kama hawa kwanini wasizomewe ?
 

Attachments

  • attachment.jpeg
    attachment.jpeg
    8.7 KB · Views: 272
  • attachment-4.jpeg
    attachment-4.jpeg
    8.4 KB · Views: 271
daaaa ccm imefikia hapa kwel hapo zaman kule kwetu zanzibar ulikuwa ukivaa sara ya cuf mbona tabu ila upepo umegeuka.
 
kwa mtu mwenye staha hawezi kuzomea mwenzie,ukiona mtu anazomea mwangalie utakutana ana mapungufu mengi

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuzomea watu kisa nguo.

Ni lazima kiroba kiwe kichwani.
 
Wanazomews kwa ssbabu hawajitambui, kwa sababu saa ya mabadiliko imeshafika lakini wao inaonekana bado hawana huo ufahamu, na ndo maana wanakumbushwa kwa kuzomewa.
 
Jioni ya jana tu nimeona zomea zomea ya haja mitaa ya clock tower town kati basi lililokodiwa na maccm lilipita watu wakakasirika wakaanza kuyazomea.
 
Back
Top Bottom