Credible Viewer
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 444
- 118
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuzomea watu kisa nguo.
Ni lazima kiroba kiwe kichwani.
Tatizo tafiti zenu mnazifanyia nyuma ya keyboard! Inamaana unataka kuniambia wale wote wa Ubungo/Kariakoo wamekunywa viroba!? Kafanye utafiti Kariakoo utajua kama ni viroba au wanafanya kwa kuchukizwa na yafanyayo na maccm!