REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,961
Mimi kama mzalendo wa taifa langu mwenye kuelewa nini maana ya haki,utawala bora,demokrasia,sheria ,utu,upendo na falsafa za hekima na busara niko radhi mwanangu wa pili nimpatie jina "ukawa locken" maana i feel pride kuwaona watu wachache wenye hofu ya Mungu kutetea haki ya wanyonge ilhali wengi wenye ngozi ya kondoo kunufaika kwa migongo ya kiini macho na propaganda.
Kiukweli CCM kwangu ni kama dhambi ni kama moto wa jehanamu ila upinzani ni amani ya nafsi,furaha ya moyo na raha katika maisha yangu maana hufanya uhalisia katika maisha halisi sio maigizo kwenye uhalisia.
Serikali yangu mimi naijua mwenyewe binafsi,rais wangu namjua,Tanganyika naishi ila Mungu hatowasahau wema milele.
Kiukweli CCM kwangu ni kama dhambi ni kama moto wa jehanamu ila upinzani ni amani ya nafsi,furaha ya moyo na raha katika maisha yangu maana hufanya uhalisia katika maisha halisi sio maigizo kwenye uhalisia.
Serikali yangu mimi naijua mwenyewe binafsi,rais wangu namjua,Tanganyika naishi ila Mungu hatowasahau wema milele.