Kwa miezi kadhaa nimepumzisha macho yangu na masikio....hii ni baada ya kutoweka habari za kagame hasa kwa midomo ya watz na badala yake ukawa ika-take over....
Nashukuru sana Mungu kwa kuzaliwa ukawa hasa Tundu na Mzee Jose Sinde....kipindi cha nyuma almost matatizo yetu yote tulimbebesha Kagame....niambieni nini mchango wa Kagame kwa mgogoro uliopo wa madai ya ukawa?
Mchawi si jirani-mchawi ni sisi wenyewe...."ujinga" kama tu wajinga kwa mambo yetu wenyewe tutakuwaje waerevu wa mambo ya jirani?shushia hutu tu mistari twa raia mwema
Raia Mwema - Ni werevu wa CCM au ujinga wa Watanzania?
Nashukuru sana Mungu kwa kuzaliwa ukawa hasa Tundu na Mzee Jose Sinde....kipindi cha nyuma almost matatizo yetu yote tulimbebesha Kagame....niambieni nini mchango wa Kagame kwa mgogoro uliopo wa madai ya ukawa?
Mchawi si jirani-mchawi ni sisi wenyewe...."ujinga" kama tu wajinga kwa mambo yetu wenyewe tutakuwaje waerevu wa mambo ya jirani?shushia hutu tu mistari twa raia mwema
Raia Mwema - Ni werevu wa CCM au ujinga wa Watanzania?