UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mabo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Tulia dawa iingie usiweweseke,mtaisoma number mwaka huu ENL2015
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani!!
We vip wewe? Unaumwa akili nin? Yaani kuona umati tuu roho imekuuma mwenyewe! Fisadi ni hao wenzio wasiotosheka na madaraka tangu nchi ipate uhuru. Acha Mr Presdent asindkizwe kwa shangwe. 50% watakaopiga kura wote watampgia na hao ambao hawajajiandisha watalala majumban. We tulia na wenzio.
 
Wewe usitupigie kelele watu tupo katika mipango ya kuikomboa nchi toka kwa manyang'au
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Kaa kimya we ngurdoto,huu ni wakati wetu wanyonge wakupaza sauti zisikike kila kona,kwani ni Saa ya ufufuo wa Tanzania na uzima..
 
Wengi wao hawajajiandikisha na asilimia kubwa ya vijana kelele nyingi kura hawapigi
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mabo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Vipi kuhusu hao wa CCM na Magufuli waliokuwa wanapiga kelele siku alipoenda kuchukua form,na nyie mnaopiga kelele humu ndani ambao teyari ni wachache sana, asilimia ngapi mmejiandikisha?
 
Mie nadhani wale wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa CCM, 50% watakuwa wamejiunga na UKAWA na 50% nyingine ya waliobaki hawatapiga kura kwa kukatishwa tamaa na mafuriko haya ya Lowasa ambayo hayazuiliki!
 
wengi wao hawajajiandikisha na asilimia kubwa ya vijana kelele nyingi kura hawapigi

nani kakudanganya watu walikuwa wanaamka usiku wa manane kuwahi namba, safari hii vijana wengi wamejiandikisha kwanza ili wapate vitambulisho na pili ni kama kichinjio hiko, au umesahau nec wamesema wamefanikisha uandikishaji mkoa wa dar es salaam kwa asilimiangapi?
 
Mie nadhani 50% ya wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi na washabiki wa CCM watakuwa wamehamia UKAWA na 50% ya waliobaki hawatapiga kura kwa kuwa watakuwa wamekatishwa tamaa na mafuriko yanoyojiunga na Lowasa na hivyo hawatakuwa na morali ya kupiga kura.
 
Acha kukariri braza watu wabahitaji mabadiliko kutoka mioyoni mwao na wala si vinginevyo haya majungu peleka kijijini kwenu kwa washamba wenzako
 
Tema maji mdomoji uongee,maana sisikii unaongea nini,sauti za wanyonge ziko juu sana..
 
Vipi kuhusu hao wa CCM na Magufuli waliokuwa wanapiga kelele siku alipoenda kuchukua form,na nyie mnaopiga kelele humu ndani ambao teyari ni wachache sana, asilimia ngapi mmejiandikisha?

Unajua ccm c watu wa kupiga kelele nyngi kama nyinyi mkuu,ccm ni watu wa vitendo tu tunachowaomba octoba baada ya matokeo kutangazwa msikimbilie kutupia hunu kuwa ccm na mbinu walizotumia kuiba mkubali kushindwa na hakuna mwaka mtakao lia vibaya kama mwaka huu coz kikwete kamuweka mtu wa kazi hapo we mwenyewe najua ni ukawa tu unakufanya usimkubali ila ukweli unao moyoni mkuu
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Mbona unalialia!!
kwani wewe ulikuwa umejipangaje? Si ungeandika walau mistari miwili ya Magufuli naye tumkumbuke, ndo..........roboooooooo wewe!
 
huwa nashangazwa sana na ccm na wafuasi wao wasivyoendana na mabadiliko,hawawezi au hawataki kwa makusudi kuyaona na kutambua uwepo wa mabadiliko.hiyo sababu uliyotoa ni miaka ya zamani ndugu!watu wamebadilika mmebaki na mawazo ya zamani,subiri oct 25 ndio mtatambua mlivyopita na wakati
 
Back
Top Bottom