UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!



mbona hujiamin pot vipi
 
Nafikiri utakuwa umetoroka mirembe wewe, morembe ya Lumumba.
 
Ukawa wanafisadi mmoja, je wapinzani wa ukawa wanafisadi wangapi? Fikiri na chukua hatua.
 
hata wasipo piga KURA wote hao uliwaona leo ila EL NINO atashinda , ukijaribu kusoma psychologia yako hata moyoni inaonekana km unahofu na hiamini hata unachokisimamia dat y? unajishrukia kutukanwa ......
JIPANDE sn mkuu vijana ndo wana njaa kuliko unavyo tegemea
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Mkuu wewe ni nabii au mtabiri?!
-umeshajua utatukanwa
-umeshajua waliojiandikisha hawatapiga kura
Siwezi kupingana na utabiri au anabii wako kwani ndivyo unavyoamini wewe. Endelea kuamini wewe lakini usitake kulazimisha kuwa ndivyo itakavyokuwa.

Wewe unawaza na kufikiri kama jana. Mazingira ya jana na sababu za jana sio lazima zifanane na za leo. Uchaguzi wa 2010 ambao zaidi ya nusu ya waliojiandikisha kupiga kura hawakupiga kura, na uchaguzi wa mwaka huu ni tofauti kabisa. Tusijindanganye kwa kuishi kwa mazoea eti kwa vile 2010 watu hawakujitokeza kupiga kura basi na mwaka huu itakuwa hivyo hivyo.

Huu ni mwaka wa mabadiliko na wengi wako tayari kwa mabadiliko. Na ni vizuri ukajiandaa kuyapokea kwani hayazuiliki. Mtoto akishafika muda wa kutoka tumboni mwa mama yake huwezi kuzuia, atatoka tu hata kwa operation. Ndivyo mabadiliko yalivyo, hakuna aliyekuwa anawaza wala kufikiri kwamba kuna siku moja huyo mnayemwita fisadi ataondoka CCM na kujiunga na CDM, hakuna!!

Tukutane hapa hapa JF baada ya 25 october tuone huo utabiri au unabii wako kama utatimia.
 
Utahitaji vipi mabadiliko wakati ww huna mawazo yako binafsi? Unapewa msemo na unaushupalia utadhani kweli, make wengi wao kichwani wanatumia uji, yani hawajui chochote kile, anayetaka mabadiliko anatafakari sana kwa ss, huwezi kutaka mabadiliko kwa kuhongwa kiasi hicho, baada ya dili kwisha huwezi kuiona hiyo pesa, na kwa sababu hujitambui na hujui thamani ya umri wako kwa ss, unaweza kupiga kelele sana na kuziba masikio, lakini we ndo utakuwa wa kwanza kujuta jf, nyie hao hao ndo mlipiga kelele sana sana wakati huo, leo mnasema mabadiliko, bado mnaongeza ujinga kwenye vichwa vyenu, ndo maana nasema, mtu anayetaka mabadiliko anatafakari sana kwa muda huu, viongozi wakubwa walio leta huo msemo wa mabadiliko wamekaa kimya kwani wanajua kinachoendelea, na wao pia wana washangaa mnaosema mnaotaka hayo mabadiliko, nakutakieni pole sana, ila siku mukipata mawazo mapya ya kutodangwanywa hivi, mtakuwa makini sana!
 
Huyu MWENYE mawazo ya 95 achana naye wasubiri kwamba watu hawakuandikisha.Anatupoteza kwenye control.Go Ukawa go.
 
Tuondolee unabii wako wa kimaskini na kichawi.
Mtaweweseka sana, habare ndio hiyo.
Mimi na nyumba yangu yote, hadi mbuzi tutapiga kura kwa UKAWA, inshallah Mungu atufikishe october salama.
 
Tuondolee unabii wako wa kimaskini na kichawi.
Mtaweweseka sana, habare ndio hiyo.
Mimi na nyumba yangu yote, hadi mbuzi tutapiga kura kwa UKAWA, inshallah Mungu atufikishe october salama.

Yaani wewe nina uhakika kura hautapiga kwa maana hata haujui kura maana yake ni nini na nani anapaswa kupiga kura, kwani kama ukienda na mbuzi wako utaishia kupigwa faini na Polisi! Mbuzi hawaruhusiwi kupiga Kura TanZania!
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!





Hizi mimba changa zina shida
 
Tuthibitishie wote waliomsindikiza Magufuli watapiga kura nasi tutakujibu swali/jungu lako!
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!


*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!

Kwa akili yako hiyo hiyo, waliomsindikiza mgombea wenu wata piga kura wote na wote waliomsindikiza watakuwepo, haumwi mtu, hasafiri mtu, yaan magamba mna akili za kuchekesha sana.
 
Wewe usitupigie kelele watu tupo katika mipango ya kuikomboa nchi toka kwa manyang'au

Watazania tukianza kuitana manyangau wenyewe kwa wenyewe kisa ni tofauti za itikadi za kisiasa tujue tumefilisika. Haipendezi CCM au CDM au chama kingine chochote kuitana majina kwani utajikuta unamwita baba mkwe wako nyangau au shemeji yako na hata mama yako mzazi. Uhodari wa kulumbana kwa hoja ndicho kitu kinachotakiwa.
 
Back
Top Bottom