Ukawa hatutashinda kwa njia hii

Ukawa hatutashinda kwa njia hii

Tulikua katika mchakato mzuri wakuchuadola kwa safu yetu nzuri.Lakini walipokuja hawa wageni wametuvuruga tumeona Chama kumbe ni chakaskazini.wakubwa wote wanatoka huko Mtei,Ndesamburo,Lowasa,Mbowe Slaa,mdee Komu naomba viongozi walione hilo vinginevyo kweli itatugharimu

Usiishie hapo unatakiwa ukamilishe kabisa kwa kusema kuwa rais wa mwaka 2015 kupitia UKAWA ni kutoka kasikazini jina lake ni Lowassa.
 
Tulikua katika mchakato mzuri wakuchuadola kwa safu yetu nzuri.Lakini walipokuja hawa wageni wametuvuruga tumeona Chama kumbe ni chakaskazini.wakubwa wote wanatoka huko Mtei,Ndesamburo,Lowasa,Mbowe Slaa,mdee Komu naomba viongozi walione hilo vinginevyo kweli itatugharimu
Huna Hoja Ndg
Madiwani wanaohamia CDM kutoka sehemu mbalimbali huko Kahama, Tabora, Bunda nako huko ni Kanda ya Kaskazini??
Kakojoe ukalale.
 
Kama chadema naamini wengi wanaotukana si wanachama ni wakuja ukweli hautafichika kwa kutukana si suluhisho hatutashinda kwa kukataa ukeli
 
Kama chadema naamini wengi wanaotukana si wanachama ni wakuja ukweli hautafichika kwa kutukana si suluhisho hatutashinda kwa kukataa ukeli


Ukeli. ..hamna anayekataa uke
 
Hili suala la viongozi wa chadema wengi kuwa wakristo kwa kweli me linanipa shaka sana

ishiiiiii! hv kwann huwa mnapenda kuchunguza vya udini na ukabila!? haya CCM wamejaa dini gani? Na CUF wamejaa dini gani? bwana mchunguzi wa dini km hutajali kunijibu!!!!!!!!
 
Tundu Lissu, Abdala Safari, John Mnyika, Salum Mwalim, Lwakatare, wote hawa ni wa Kaskazini. Wabunge wake wote ni wa Kaskazini kama Sugu na Msigwa wakaskazini hawa tena Wachaga kabisa!
 
Tulikua katika mchakato mzuri wakuchuadola kwa safu yetu nzuri.Lakini walipokuja hawa wageni wametuvuruga tumeona Chama kumbe ni chakaskazini.wakubwa wote wanatoka huko Mtei,Ndesamburo,Lowasa,Mbowe Slaa,mdee Komu naomba viongozi walione hilo vinginevyo kweli itatugharimu

Usisahau kuwa huko ccm mnarithishana na watoto wenu eg. Nape leo anakalia kiti alichokuanacho mzazi wake, Adam malima kiti cha baba take, Makamba junior,Ridhiwan etc
Acha habari ya ukanda na udini
 
Muuuuuuuuuuu Kwa hiyo baraza la mawaziri litaundwa na watu wa kaskazini na wakristo tu hapo maneno. Chadema ilikufa rasmi tarehe 04/08/2015 hivyo no upinzani kabisa
 
Kama wenzetu wametenda makosa ni lazima nasisi tuige nini tofauti kati yetu na wao sema kweli hata kama hupendi hatutashinda kwa kujidanganya
 
wenye maamuzi wote wanatoka kaskazin,hawa kina lissu na salum hata safari ni watumwa tu wa njaa zao. mkubali mkatae ukwl ndo huo kama mnasema ccm ni waislam lkn mmeona miaka kumi wametawala bila ubaguzi lkn nyie CDM kila mti ni SISIMIZI.
 
Back
Top Bottom