UKAWA, anzeni Mapema Kumwomba Mhe. Tundu Lissu Agombee Urais Mwaka 2020

Viongozi karibu wote wanaotawala kwenye nchi karibu zote duniani(isipokuwa za kidikteta) huandaliwa na mifumo ya vyama vyao kuja kuongoza toka awali.
Hata Tanzania,CCM ukiacha madhaifu yake ya hapa na pale wamekuwa wazuri kuwaandaa viongozi toka wakiwa wadogo mf Mkapa,Kikwete n.k
Wapinzani bado hawajawa tayari kwa hilo.
Wamekuwa watu wa kudaka watu wanaotemwa na waandaa viongozi.
Imefika wakati sasa wa Upinzani kujipanga na kuweka mikakati ya muda mrefu ya ni nani atatufaa 2020,2025 ama kipindi chochote ambacho uchaguzi unaweza ukafanyika.
Nikiangalia jinsi Tundu Lisu anavyowapa jamba jamba CCM katika uchaguzi wa TLS,basi unatambua kabisa huyu jamaa hata akigombea urais 2020 kupitia Ukawa atashinda kwa mbali sana.
Hivyo niwape shime Chadema kumuandaa huyu jamaa ili agombee urais muda wowote uchaguzi ukitajwa.
Kumuandaa ni pamoja na kumtengenezea personality n.k
 
Wadau, nimewaza sana kuhusu nani anafaa kuipeperusha bendera ya UKAWA mwaka 2020 kwenye nafasi ile nyeti.
Kwa upande wa CCM najua kuwa bado mheshimiwa John Pombe Magufuli ataendelea kugombea kulingana na utaratibu uliozoeleka.

Hata hivyo changamoto kubwa bado inasaria kwenye vyama vinavyounda Ukawa! Ni yupi safari ijayo; anafaa kugombea urais kupitia wa vyama hivi?
Hili ni swali moja kubwa mno, si kwao tu bali na kwa watanzania kwa ujumla.

Swali ambalo kulingana na unyeti wake, linahitaji uwekevu wa hekima, au tuseme utulivu wa mawazo unaoweza kupalilia njia ya kuliendea jawabu, kinyume kabisa na ule utaratibu wa kukimbilia majibu mepesi; ambayo aghalabu huwa hayawezi kukidhi haja ya jamii yenye upevu wa kifikra.

Pengine kabla sijaanza kuitetea hoja yangu; ni vizuri watawala wetu; katika nyakati zote, wakafahamu kwamba watanzania wa leo wanahitaji maisha bora tu, na si hadithi za alfulela-ulela.

Sasa kwenye mada, kwa nini Tundu Antipas Lissu na si mwingine?

1) Tundu Lissu ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja mpaka mtoto mdogo akamwelewa!
Ukizingatia kuwa nchi yetu kwa sasa uelewa wa watu si haba, na unazidi kuongezeka kila mwaka.

2) Tundu Lissu ni Mwanasheria mwenye akili nyingi, na mtazamo mpana mno!
Na kwa kutumia ufahamu wake huo atasaidia sana wakati wa kampeni kuongeza ushawishi pindi atakapogusa nyanja mbalimbali na kuja na majibu muafaka kwa jamii ambayo kimsingi imekuwa kama watazamaji tu ilihali sherehe ni yao!

3) Tundu Lissu Hana kashfa yoyote ndani ya taifa hili.

4) Tundu Lissu ni jasiri wa asili yake, ambae wakati wote huenda mbele tuu, na kamwe harudi nyuma katika lile analolisimamia.

5) Ndiye Mwanasheria ambaye anaweza kutupatia katiba ya wananchi ambayo wanasiasa wengi wameonesha uoga kuitetea!

6) Ni kijana pia, ambapo katika daftari la wapiga kura; wengi wao ni vijana.

7) Tundu Lissu ana uwezo mkubwa wa kuhoji mambo yaliyopinda hivyo anawezakutoa changamoto kubwa kwa wale walio madarakani sasa.
Sababu ziko nyingi mnaweza kuziongeza

Na mwisho pengine niseme hivi labda nitaeleweka zaidi.

Ukawa, au tuseme upinzani kwa ujumla, kutokumtumia mwanasheria huyu mbobevu katika eneo hili muhimu, hiyo haina tofauti kabisa na ile hadithi ya wale wazungu wa kale waliowakuta wasukuma wa Mwadui Shinyanga; wakicheza bao kwa kutumia vipande vya almasi kama kete!!

Je wewe unasemaje kuhusu hili?
Lowassa vipi mmeachana naye? Rais wa mioyo yenu!! Ahaaaaaaaaaaa!
 
Kilichobaki kwa lisu sasaivi ni kugombea tu urais 2020, umeona jinsi watu walivyokupenda? unakubalika, serikali inakuogopa. tafadhali, umekabidhiwa imani kubwa na watz, fanya vyema ili 2020 upae kwenye anga zingine. Mungu ibariki TLS.
 
Wadau, nimewaza sana kuhusu nani anafaa kuipeperusha bendera ya UKAWA mwaka 2020 kwenye nafasi ile nyeti.
Kwa upande wa CCM najua kuwa bado mheshimiwa John Pombe Magufuli ataendelea kugombea kulingana na utaratibu uliozoeleka.

Hata hivyo changamoto kubwa bado inasaria kwenye vyama vinavyounda Ukawa! Ni yupi safari ijayo; anafaa kugombea urais kupitia wa vyama hivi?
Hili ni swali moja kubwa mno, si kwao tu bali na kwa watanzania kwa ujumla.

Swali ambalo kulingana na unyeti wake, linahitaji uwekevu wa hekima, au tuseme utulivu wa mawazo unaoweza kupalilia njia ya kuliendea jawabu, kinyume kabisa na ule utaratibu wa kukimbilia majibu mepesi; ambayo aghalabu huwa hayawezi kukidhi haja ya jamii yenye upevu wa kifikra.

Pengine kabla sijaanza kuitetea hoja yangu; ni vizuri watawala wetu; katika nyakati zote, wakafahamu kwamba watanzania wa leo wanahitaji maisha bora tu, na si hadithi za alfulela-ulela.

Sasa kwenye mada, kwa nini Tundu Antipas Lissu na si mwingine?

1) Tundu Lissu ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja mpaka mtoto mdogo akamwelewa!
Ukizingatia kuwa nchi yetu kwa sasa uelewa wa watu si haba, na unazidi kuongezeka kila mwaka.

2) Tundu Lissu ni Mwanasheria mwenye akili nyingi, na mtazamo mpana mno!
Na kwa kutumia ufahamu wake huo atasaidia sana wakati wa kampeni kuongeza ushawishi pindi atakapogusa nyanja mbalimbali na kuja na majibu muafaka kwa jamii ambayo kimsingi imekuwa kama watazamaji tu ilihali sherehe ni yao!

3) Tundu Lissu Hana kashfa yoyote ndani ya taifa hili.

4) Tundu Lissu ni jasiri wa asili yake, ambae wakati wote huenda mbele tuu, na kamwe harudi nyuma katika lile analolisimamia.

5) Ndiye Mwanasheria ambaye anaweza kutupatia katiba ya wananchi ambayo wanasiasa wengi wameonesha uoga kuitetea!

6) Ni kijana pia, ambapo katika daftari la wapiga kura; wengi wao ni vijana.

7) Tundu Lissu ana uwezo mkubwa wa kuhoji mambo yaliyopinda hivyo anawezakutoa changamoto kubwa kwa wale walio madarakani sasa.
Sababu ziko nyingi mnaweza kuziongeza

Na mwisho pengine niseme hivi labda nitaeleweka zaidi.

Ukawa, au tuseme upinzani kwa ujumla, kutokumtumia mwanasheria huyu mbobevu katika eneo hili muhimu, hiyo haina tofauti kabisa na ile hadithi ya wale wazungu wa kale waliowakuta wasukuma wa Mwadui Shinyanga; wakicheza bao kwa kutumia vipande vya almasi kama kete!!

Je wewe unasemaje kuhusu hili?

Interesting
 
Wadau, nimewaza sana kuhusu nani anafaa kuipeperusha bendera ya UKAWA mwaka 2020 kwenye nafasi ile nyeti.
Kwa upande wa CCM najua kuwa bado mheshimiwa John Pombe Magufuli ataendelea kugombea kulingana na utaratibu uliozoeleka.

Hata hivyo changamoto kubwa bado inasaria kwenye vyama vinavyounda Ukawa! Ni yupi safari ijayo; anafaa kugombea urais kupitia wa vyama hivi?
Hili ni swali moja kubwa mno, si kwao tu bali na kwa watanzania kwa ujumla.

Swali ambalo kulingana na unyeti wake, linahitaji uwekevu wa hekima, au tuseme utulivu wa mawazo unaoweza kupalilia njia ya kuliendea jawabu, kinyume kabisa na ule utaratibu wa kukimbilia majibu mepesi; ambayo aghalabu huwa hayawezi kukidhi haja ya jamii yenye upevu wa kifikra.

Pengine kabla sijaanza kuitetea hoja yangu; ni vizuri watawala wetu; katika nyakati zote, wakafahamu kwamba watanzania wa leo wanahitaji maisha bora tu, na si hadithi za alfulela-ulela.

Sasa kwenye mada, kwa nini Tundu Antipas Lissu na si mwingine?

1) Tundu Lissu ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja mpaka mtoto mdogo akamwelewa!
Ukizingatia kuwa nchi yetu kwa sasa uelewa wa watu si haba, na unazidi kuongezeka kila mwaka.

2) Tundu Lissu ni Mwanasheria mwenye akili nyingi, na mtazamo mpana mno!
Na kwa kutumia ufahamu wake huo atasaidia sana wakati wa kampeni kuongeza ushawishi pindi atakapogusa nyanja mbalimbali na kuja na majibu muafaka kwa jamii ambayo kimsingi imekuwa kama watazamaji tu ilihali sherehe ni yao!

3) Tundu Lissu Hana kashfa yoyote ndani ya taifa hili.

4) Tundu Lissu ni jasiri wa asili yake, ambae wakati wote huenda mbele tuu, na kamwe harudi nyuma katika lile analolisimamia.

5) Ndiye Mwanasheria ambaye anaweza kutupatia katiba ya wananchi ambayo wanasiasa wengi wameonesha uoga kuitetea!

6) Ni kijana pia, ambapo katika daftari la wapiga kura; wengi wao ni vijana.

7) Tundu Lissu ana uwezo mkubwa wa kuhoji mambo yaliyopinda hivyo anawezakutoa changamoto kubwa kwa wale walio madarakani sasa.
Sababu ziko nyingi mnaweza kuziongeza

Na mwisho pengine niseme hivi labda nitaeleweka zaidi.

Ukawa, au tuseme upinzani kwa ujumla, kutokumtumia mwanasheria huyu mbobevu katika eneo hili muhimu, hiyo haina tofauti kabisa na ile hadithi ya wale wazungu wa kale waliowakuta wasukuma wa Mwadui Shinyanga; wakicheza bao kwa kutumia vipande vya almasi kama kete!!

Je wewe unasemaje kuhusu hili?
He is not president type
 
Acha kumtaja mapema ... CCM wameshaliona hilo ndiyo maana wanampachika kesi ili apoteze sifa huko mbeleni kama watafanikiwa!!
Huyo si ni mwehu jamani,na yeye anafaa kuwa rais kweli?
 
He is not president type
Hahhahhha ila magufuli ndio type ya urais?? hahhaah ccm bhana si mlisema ivo ivo urais wa TLS kilichofuata ni aibu kuu....... kiukweli mtu awe material au sio material hayamfanyi mtu kutokidhi vigezo zaidi ni kurekebishwa na kupewa mentorship za kiuiongozi basi mtu anakuwa fit coz i believe hakuna mtu aliyezaliwa akiwa kiongozi ila mazingira na mafunzo ndo yanawajenga kuwa viongozi.
 
ni lini chadema imerudia mgombea urais??
Kwa hiyo 2020 hakuna kuzungusha mikono, kudeki barabara, kuigiza kunywa uji wa mama ntilie na kupanda daladala ya Gongolamboto? Kwa ubabaishaji wenu Ikulu mtaisikia kwenye Bomba miaka nenda rudi period!
 
Ni Kweli kabisa wamuweke Tundu lisu agombee 2020 maana ashazoea mikikimikiki ,Lowassa pumzika kabisa uwe mshaurii tu ,pia watu wengi wanamkubali Tundu Lisu,ila ingekuwa vyema vyama vya upinzani kwa uraisi wakaweka Raisi mmoja tu ili kura zisigawanyike wawe na umoja,,waweke kichwa Lissu ,hapo ntapiga kura
 
Ni Kweli kabisa wamuweke Tundu lisu agombee 2020 maana ashazoea mikikimikiki ,Lowassa pumzika kabisa uwe mshaurii tu ,pia watu wengi wanamkubali Tundu Lisu,ila ingekuwa vyema vyama vya upinzani kwa uraisi wakaweka Raisi mmoja tu ili kura zisigawanyike wawe na umoja,,waweke kichwa Lissu ,hapo ntapiga kura
What? Lissu for Presidency? Ridiculous and ridiculousity!! A country is not a Law Society with less than 3000 members!
 
Kwa hiyo 2020 hakuna kuzungusha mikono, kudeki barabara, kuigiza kunywa uji wa mama ntilie na kupanda daladala ya Gongolamboto? Kwa ubabaishaji wenu Ikulu mtaisikia kwenye Bomba miaka nenda rudi period!
hahhahhaah we jamaa mtu alipanda daladala kujua matatizo ya watanznaia wa chini kabida na siku anataka kurudi kuwashukuru mkamzuia mlitaka afanyeje ssa???
kudeki barabara hayo ni mapenzi ya watu kma ambavyo juzi nape wamama walilala chini ssa kuna kosa gani watu wakikuonyesha heshima??? whether atasimama lowasa au lisu au mbatia au seif mziki ni ule ule na mtanyooshwa tu na nimnukuu humphrey polepole "UCHAGUZI UKIWA HURU NA HAKI CCM WANATOKA MADARAKANI"
 
Ifikie mahali tunapotaka kupata Rais wa nchi tuwe na vigezo au issues tunazotumia kumtambulisha nazo. Kuwa msemaji mzuri haipaswi kuwa mojawapo ya sifa kuu ila za ziada. Wakati mwingine tunaweza kujikuta tunaingiza watu wazuri kwa sura, au usemaji au umaarufu matokeo yake tunaugulia. Mtu yeyote anayetakiwa kugombea Urais lazima awe na;

1. Sera nzuri na zinazotekelezeka za kiuchumi. Sera ambazo zinaweza kumwongezea kila mwananchi matumaini ya
kufanikiwa kiuchumi. Asiyekurupuka kudandia vitu juu juu na kutuacha solemba
2. Na hulka/silka/kipaji cha kiuongozi. Anayeweza kuliunganisha taifa bila kujali tofauti zetu na kutupatia uongozi wa
kujivunia Utaifa wetu. Anayeweza kuhubiri umoja kwa maneno na matendo yake!
3. Mtendaji, anayeweza kusimamia kile kilichoamuliwa na kutuonesha matokeo yake.
4. Mnyenyekevu na mvumilivu. Hakuna kiongozi anayeweza kufanikisha matokeo makubwa na yanayodumu bila kuwa sifa za
unyenyekevu ili ajifunze mengi na mvumilivu anapokosolewa.


Kuwa mbishi pekee haitoshi, kuwa mbabe pia sio sifa. Kubobea katika fani yoyote iwe ni sheria, elimu, kemia, uchumi na. haitoshelezi. Tunatafuta mafanikio ya kiuchumi kwa wote, amani, demokrasia, mshikamano wa kijamii na kitaifa na mambo yanayofanana na hayo
 
Back
Top Bottom