Viongozi karibu wote wanaotawala kwenye nchi karibu zote duniani(isipokuwa za kidikteta) huandaliwa na mifumo ya vyama vyao kuja kuongoza toka awali.
Hata Tanzania,CCM ukiacha madhaifu yake ya hapa na pale wamekuwa wazuri kuwaandaa viongozi toka wakiwa wadogo mf Mkapa,Kikwete n.k
Wapinzani bado hawajawa tayari kwa hilo.
Wamekuwa watu wa kudaka watu wanaotemwa na waandaa viongozi.
Imefika wakati sasa wa Upinzani kujipanga na kuweka mikakati ya muda mrefu ya ni nani atatufaa 2020,2025 ama kipindi chochote ambacho uchaguzi unaweza ukafanyika.
Nikiangalia jinsi Tundu Lisu anavyowapa jamba jamba CCM katika uchaguzi wa TLS,basi unatambua kabisa huyu jamaa hata akigombea urais 2020 kupitia Ukawa atashinda kwa mbali sana.
Hivyo niwape shime Chadema kumuandaa huyu jamaa ili agombee urais muda wowote uchaguzi ukitajwa.
Kumuandaa ni pamoja na kumtengenezea personality n.k
Hata Tanzania,CCM ukiacha madhaifu yake ya hapa na pale wamekuwa wazuri kuwaandaa viongozi toka wakiwa wadogo mf Mkapa,Kikwete n.k
Wapinzani bado hawajawa tayari kwa hilo.
Wamekuwa watu wa kudaka watu wanaotemwa na waandaa viongozi.
Imefika wakati sasa wa Upinzani kujipanga na kuweka mikakati ya muda mrefu ya ni nani atatufaa 2020,2025 ama kipindi chochote ambacho uchaguzi unaweza ukafanyika.
Nikiangalia jinsi Tundu Lisu anavyowapa jamba jamba CCM katika uchaguzi wa TLS,basi unatambua kabisa huyu jamaa hata akigombea urais 2020 kupitia Ukawa atashinda kwa mbali sana.
Hivyo niwape shime Chadema kumuandaa huyu jamaa ili agombee urais muda wowote uchaguzi ukitajwa.
Kumuandaa ni pamoja na kumtengenezea personality n.k