Ukata umewakumba wabunge wapiga deal bungeni na wasanii wao

Tanzania in kubwa sana ila imejaza wapumbavu wengi wanao jifanya wanajua kumbe wanaharibu zaidi
Kile kibarua chako cha kuuzia waheshimiwa wanafunzi kimeota mbawa pale Are..?
Pole sana jifunze kufanya kazi halali sasa
Ni vyema ukatafakali mara mbili mbili kabla ya kuandika
Kati ya mambo ambayo ZZK aliyapigia kelele na wabunge wengine wa upinzani ni kutolewa kwa posho za kila siku, kama safari zilikuwa na manufaa kwa taifa ni vyema wakafanya hivyo
Hoja za ZZK ni uthibitisho jinsi gani mhimili wa Bunge unaingiliwa,
Hoja zake hazijajikita kwenye Posho na marupurupu kama ingekuwa hivyo asingeamua kuondoka bungeni na kushiriki kwenye vikao vya baraza la madiwani ila kigoma
Kwa kilichozungumzwa na ZZK ni vyema bunge kurudi kweny nafasi yake ya kukosoa, kusimamia na kuionya serikali, si kama ilivyo sasa.
Hujui uandikalo.
Unataka kukubaliana naye anavyopinga kuwa hakuna Mhimili wenye mizizi iliyojichimbia mbali zaidi? Ulifurahia wakati ule Bunge likitumika kufuja hela hovyo? Kwako ni sahihi Bunge kuipa na kutoa Maelekezo Serikali na si kukosolewa wapapofanya pumba?
 
Ukiangalia majibu ya hoja alizojibu Zitto Kabwe kwenye kamati ya maadili utagundua kwamba majibu yale si tu yametoka kwa Zitto Kabwe bali ni majibu yaliyoandaliuwa na wabunge wote wenye njaa baada ya kukosa uhuru wa kusafiri hovyo na posho batili walizozoea kupiga kabla hawajabanwa na JPM.

Sichelewi kuamini hizi ndio fedha walizokuwa wakitumia kufanya mitaji ya biashara haramu walizokuwa wikikimbilia huko Dubai na kweingineko.

Hapa mchezo anaocheza Zitto Kabwe na wenzake ni kutafuta njia ya kurudishwa kwenye ulaji na ufujaji haramu waliouzoeya huko nyuma. Wanatumia viunganishi hafifu vya kisingizio cha Bunge kupata maelekezo na kutoka Ikulu kwa kisingizio cha Mhimili lakini Tagert yao kubwa ni kutafuta ulaji na ile free Air time waliyokuwa wakitumia kupotosha na kuhujumu miswada ya Serikali na ripoti mbali mbali za Kamati za Bunge.

Hili la Ripoti ya Tanzanite kusomwa hapo nje ya Bunge limeharibu ulaji wa wapiga debe wa wezi wa Rasilimali zetu. Hawa ni baadhi ya wabunge wapiga deal Bungeni amabo hutumika na Wawekezaji kuingiza au kunyofoa vifungu vya baadhi ya Sheria za mikataba ambazo ama vinawabana au kuwanufaisha wawekezaji. Hii ni biashara kubwa sana inafanywa na wabunge na wataalamu wetu wakitumiwa na hawa wawekezaji wa nadani na nje pamoja na Mashirika na taasisi za nje.

Mwaka wa pili sasa unaisha hakuna michongo waliyozoea na wengi wao akiba zimeisha kwa madeni na matumizi ya anasa waliyozoea. Huku wakihaha kutafuta fedha za kutumia kuhadaa na kurubuni wapiga kura majimboni mwao ili warudishwe kwenye kinyang’iro kijacho.

Nimalize na kuwapongeza Mh: Raisi na Speeker Ndugai kwa kuziba mianya ya ufujaji wa fedha uliokuwa ukifanywa na Wabunge. Endeleeeni hivyo hivyo hadi kugombea Ubunge iwe ni wito na sio Biashara kubwa inayokimbiliwa kama ilivyozoeleka sasa.
Spika haiandikwi hivyo b.o.y.a wewe, inaandikwa "Speaker of the National Assembly, Hon."
 
Ukiangalia majibu ya hoja alizojibu Zitto Kabwe kwenye kamati ya maadili utagundua kwamba majibu yale si tu yametoka kwa Zitto Kabwe bali ni majibu yaliyoandaliuwa na wabunge wote wenye njaa baada ya kukosa uhuru wa kusafiri hovyo na posho batili walizozoea kupiga kabla hawajabanwa na JPM.

Sichelewi kuamini hizi ndio fedha walizokuwa wakitumia kufanya mitaji ya biashara haramu walizokuwa wikikimbilia huko Dubai na kweingineko.

Hapa mchezo anaocheza Zitto Kabwe na wenzake ni kutafuta njia ya kurudishwa kwenye ulaji na ufujaji haramu waliouzoeya huko nyuma. Wanatumia viunganishi hafifu vya kisingizio cha Bunge kupata maelekezo na kutoka Ikulu kwa kisingizio cha Mhimili lakini Tagert yao kubwa ni kutafuta ulaji na ile free Air time waliyokuwa wakitumia kupotosha na kuhujumu miswada ya Serikali na ripoti mbali mbali za Kamati za Bunge.

Hili la Ripoti ya Tanzanite kusomwa hapo nje ya Bunge limeharibu ulaji wa wapiga debe wa wezi wa Rasilimali zetu. Hawa ni baadhi ya wabunge wapiga deal Bungeni amabo hutumika na Wawekezaji kuingiza au kunyofoa vifungu vya baadhi ya Sheria za mikataba ambazo ama vinawabana au kuwanufaisha wawekezaji. Hii ni biashara kubwa sana inafanywa na wabunge na wataalamu wetu wakitumiwa na hawa wawekezaji wa nadani na nje pamoja na Mashirika na taasisi za nje.

Mwaka wa pili sasa unaisha hakuna michongo waliyozoea na wengi wao akiba zimeisha kwa madeni na matumizi ya anasa waliyozoea. Huku wakihaha kutafuta fedha za kutumia kuhadaa na kurubuni wapiga kura majimboni mwao ili warudishwe kwenye kinyang’iro kijacho.

Nimalize na kuwapongeza Mh: Raisi na Speeker Ndugai kwa kuziba mianya ya ufujaji wa fedha uliokuwa ukifanywa na Wabunge. Endeleeeni hivyo hivyo hadi kugombea Ubunge iwe ni wito na sio Biashara kubwa inayokimbiliwa kama ilivyozoeleka sasa.

Msalimie Polepole.
 
Ukiangalia majibu ya hoja alizojibu Zitto Kabwe kwenye kamati ya maadili utagundua kwamba majibu yale si tu yametoka kwa Zitto Kabwe bali ni majibu yaliyoandaliuwa na wabunge wote wenye njaa baada ya kukosa uhuru wa kusafiri hovyo na posho batili walizozoea kupiga kabla hawajabanwa na JPM.

Sichelewi kuamini hizi ndio fedha walizokuwa wakitumia kufanya mitaji ya biashara haramu walizokuwa wikikimbilia huko Dubai na kweingineko.

Hapa mchezo anaocheza Zitto Kabwe na wenzake ni kutafuta njia ya kurudishwa kwenye ulaji na ufujaji haramu waliouzoeya huko nyuma. Wanatumia viunganishi hafifu vya kisingizio cha Bunge kupata maelekezo na kutoka Ikulu kwa kisingizio cha Mhimili lakini Tagert yao kubwa ni kutafuta ulaji na ile free Air time waliyokuwa wakitumia kupotosha na kuhujumu miswada ya Serikali na ripoti mbali mbali za Kamati za Bunge.

Hili la Ripoti ya Tanzanite kusomwa hapo nje ya Bunge limeharibu ulaji wa wapiga debe wa wezi wa Rasilimali zetu. Hawa ni baadhi ya wabunge wapiga deal Bungeni amabo hutumika na Wawekezaji kuingiza au kunyofoa vifungu vya baadhi ya Sheria za mikataba ambazo ama vinawabana au kuwanufaisha wawekezaji. Hii ni biashara kubwa sana inafanywa na wabunge na wataalamu wetu wakitumiwa na hawa wawekezaji wa nadani na nje pamoja na Mashirika na taasisi za nje.

Mwaka wa pili sasa unaisha hakuna michongo waliyozoea na wengi wao akiba zimeisha kwa madeni na matumizi ya anasa waliyozoea. Huku wakihaha kutafuta fedha za kutumia kuhadaa na kurubuni wapiga kura majimboni mwao ili warudishwe kwenye kinyang’iro kijacho.

Nimalize na kuwapongeza Mh: Raisi na Speeker Ndugai kwa kuziba mianya ya ufujaji wa fedha uliokuwa ukifanywa na Wabunge. Endeleeeni hivyo hivyo hadi kugombea Ubunge iwe ni wito na sio Biashara kubwa inayokimbiliwa kama ilivyozoeleka sasa.
Aiseeeeeeee........
 
Ukiangalia majibu ya hoja alizojibu Zitto Kabwe kwenye kamati ya maadili utagundua kwamba majibu yale si tu yametoka kwa Zitto Kabwe bali ni majibu yaliyoandaliuwa na wabunge wote wenye njaa baada ya kukosa uhuru wa kusafiri hovyo na posho batili walizozoea kupiga kabla hawajabanwa na JPM.

Sichelewi kuamini hizi ndio fedha walizokuwa wakitumia kufanya mitaji ya biashara haramu walizokuwa wikikimbilia huko Dubai na kweingineko.

Hapa mchezo anaocheza Zitto Kabwe na wenzake ni kutafuta njia ya kurudishwa kwenye ulaji na ufujaji haramu waliouzoeya huko nyuma. Wanatumia viunganishi hafifu vya kisingizio cha Bunge kupata maelekezo na kutoka Ikulu kwa kisingizio cha Mhimili lakini Tagert yao kubwa ni kutafuta ulaji na ile free Air time waliyokuwa wakitumia kupotosha na kuhujumu miswada ya Serikali na ripoti mbali mbali za Kamati za Bunge.

Hili la Ripoti ya Tanzanite kusomwa hapo nje ya Bunge limeharibu ulaji wa wapiga debe wa wezi wa Rasilimali zetu. Hawa ni baadhi ya wabunge wapiga deal Bungeni amabo hutumika na Wawekezaji kuingiza au kunyofoa vifungu vya baadhi ya Sheria za mikataba ambazo ama vinawabana au kuwanufaisha wawekezaji. Hii ni biashara kubwa sana inafanywa na wabunge na wataalamu wetu wakitumiwa na hawa wawekezaji wa nadani na nje pamoja na Mashirika na taasisi za nje.

Mwaka wa pili sasa unaisha hakuna michongo waliyozoea na wengi wao akiba zimeisha kwa madeni na matumizi ya anasa waliyozoea. Huku wakihaha kutafuta fedha za kutumia kuhadaa na kurubuni wapiga kura majimboni mwao ili warudishwe kwenye kinyang’iro kijacho.

Nimalize na kuwapongeza Mh: Raisi na Speeker Ndugai kwa kuziba mianya ya ufujaji wa fedha uliokuwa ukifanywa na Wabunge. Endeleeeni hivyo hivyo hadi kugombea Ubunge iwe ni wito na sio Biashara kubwa inayokimbiliwa kama ilivyozoeleka sasa.
Njaa mbaya mkuu mbona hujamsifia na yule wa mahakama alopewa kazi rasmi juz kaanza nae kutafuta kiki anapayuka tu
 
Ukiangalia majibu ya hoja alizojibu Zitto Kabwe kwenye kamati ya maadili utagundua kwamba majibu yale si tu yametoka kwa Zitto Kabwe bali ni majibu yaliyoandaliuwa na wabunge wote wenye njaa baada ya kukosa uhuru wa kusafiri hovyo na posho batili walizozoea kupiga kabla hawajabanwa na JPM.

Sichelewi kuamini hizi ndio fedha walizokuwa wakitumia kufanya mitaji ya biashara haramu walizokuwa wikikimbilia huko Dubai na kweingineko.

Hapa mchezo anaocheza Zitto Kabwe na wenzake ni kutafuta njia ya kurudishwa kwenye ulaji na ufujaji haramu waliouzoeya huko nyuma. Wanatumia viunganishi hafifu vya kisingizio cha Bunge kupata maelekezo na kutoka Ikulu kwa kisingizio cha Mhimili lakini Tagert yao kubwa ni kutafuta ulaji na ile free Air time waliyokuwa wakitumia kupotosha na kuhujumu miswada ya Serikali na ripoti mbali mbali za Kamati za Bunge.

Hili la Ripoti ya Tanzanite kusomwa hapo nje ya Bunge limeharibu ulaji wa wapiga debe wa wezi wa Rasilimali zetu. Hawa ni baadhi ya wabunge wapiga deal Bungeni amabo hutumika na Wawekezaji kuingiza au kunyofoa vifungu vya baadhi ya Sheria za mikataba ambazo ama vinawabana au kuwanufaisha wawekezaji. Hii ni biashara kubwa sana inafanywa na wabunge na wataalamu wetu wakitumiwa na hawa wawekezaji wa nadani na nje pamoja na Mashirika na taasisi za nje.

Mwaka wa pili sasa unaisha hakuna michongo waliyozoea na wengi wao akiba zimeisha kwa madeni na matumizi ya anasa waliyozoea. Huku wakihaha kutafuta fedha za kutumia kuhadaa na kurubuni wapiga kura majimboni mwao ili warudishwe kwenye kinyang’iro kijacho.

Nimalize na kuwapongeza Mh: Raisi na Speeker Ndugai kwa kuziba mianya ya ufujaji wa fedha uliokuwa ukifanywa na Wabunge. Endeleeeni hivyo hivyo hadi kugombea Ubunge iwe ni wito na sio Biashara kubwa inayokimbiliwa kama ilivyozoeleka sasa.

Upumbavu mtupu,nadhani ukipevuka kimwili na kiakili utakuwa unaandika point
 
Ukiangalia majibu ya hoja alizojibu Zitto Kabwe kwenye kamati ya maadili utagundua kwamba majibu yale si tu yametoka kwa Zitto Kabwe bali ni majibu yaliyoandaliuwa na wabunge wote wenye njaa baada ya kukosa uhuru wa kusafiri hovyo na posho batili walizozoea kupiga kabla hawajabanwa na JPM.

Sichelewi kuamini hizi ndio fedha walizokuwa wakitumia kufanya mitaji ya biashara haramu walizokuwa wikikimbilia huko Dubai na kweingineko.

Hapa mchezo anaocheza Zitto Kabwe na wenzake ni kutafuta njia ya kurudishwa kwenye ulaji na ufujaji haramu waliouzoeya huko nyuma. Wanatumia viunganishi hafifu vya kisingizio cha Bunge kupata maelekezo na kutoka Ikulu kwa kisingizio cha Mhimili lakini Tagert yao kubwa ni kutafuta ulaji na ile free Air time waliyokuwa wakitumia kupotosha na kuhujumu miswada ya Serikali na ripoti mbali mbali za Kamati za Bunge.

Hili la Ripoti ya Tanzanite kusomwa hapo nje ya Bunge limeharibu ulaji wa wapiga debe wa wezi wa Rasilimali zetu. Hawa ni baadhi ya wabunge wapiga deal Bungeni amabo hutumika na Wawekezaji kuingiza au kunyofoa vifungu vya baadhi ya Sheria za mikataba ambazo ama vinawabana au kuwanufaisha wawekezaji. Hii ni biashara kubwa sana inafanywa na wabunge na wataalamu wetu wakitumiwa na hawa wawekezaji wa nadani na nje pamoja na Mashirika na taasisi za nje.

Mwaka wa pili sasa unaisha hakuna michongo waliyozoea na wengi wao akiba zimeisha kwa madeni na matumizi ya anasa waliyozoea. Huku wakihaha kutafuta fedha za kutumia kuhadaa na kurubuni wapiga kura majimboni mwao ili warudishwe kwenye kinyang’iro kijacho.

Nimalize na kuwapongeza Mh: Raisi na Speeker Ndugai kwa kuziba mianya ya ufujaji wa fedha uliokuwa ukifanywa na Wabunge. Endeleeeni hivyo hivyo hadi kugombea Ubunge iwe ni wito na sio Biashara kubwa inayokimbiliwa kama ilivyozoeleka sasa.

Kama kwa hoja zile bado una maoni kama haya basi wewe ndiye ulistahili kupigwa risasi zile alizopigwa Lissu yaani wewe hustahili kuishi, huna faida yoyote hapa dunia zaidi kujaza vyoo tu.
 
Ukiangalia majibu ya hoja alizojibu Zitto Kabwe kwenye kamati ya maadili utagundua kwamba majibu yale si tu yametoka kwa Zitto Kabwe bali ni majibu yaliyoandaliuwa na wabunge wote wenye njaa baada ya kukosa uhuru wa kusafiri hovyo na posho batili walizozoea kupiga kabla hawajabanwa na JPM.

Sichelewi kuamini hizi ndio fedha walizokuwa wakitumia kufanya mitaji ya biashara haramu walizokuwa wikikimbilia huko Dubai na kweingineko.

Hapa mchezo anaocheza Zitto Kabwe na wenzake ni kutafuta njia ya kurudishwa kwenye ulaji na ufujaji haramu waliouzoeya huko nyuma. Wanatumia viunganishi hafifu vya kisingizio cha Bunge kupata maelekezo na kutoka Ikulu kwa kisingizio cha Mhimili lakini Tagert yao kubwa ni kutafuta ulaji na ile free Air time waliyokuwa wakitumia kupotosha na kuhujumu miswada ya Serikali na ripoti mbali mbali za Kamati za Bunge.

Hili la Ripoti ya Tanzanite kusomwa hapo nje ya Bunge limeharibu ulaji wa wapiga debe wa wezi wa Rasilimali zetu. Hawa ni baadhi ya wabunge wapiga deal Bungeni amabo hutumika na Wawekezaji kuingiza au kunyofoa vifungu vya baadhi ya Sheria za mikataba ambazo ama vinawabana au kuwanufaisha wawekezaji. Hii ni biashara kubwa sana inafanywa na wabunge na wataalamu wetu wakitumiwa na hawa wawekezaji wa nadani na nje pamoja na Mashirika na taasisi za nje.

Mwaka wa pili sasa unaisha hakuna michongo waliyozoea na wengi wao akiba zimeisha kwa madeni na matumizi ya anasa waliyozoea. Huku wakihaha kutafuta fedha za kutumia kuhadaa na kurubuni wapiga kura majimboni mwao ili warudishwe kwenye kinyang’iro kijacho.

Nimalize na kuwapongeza Mh: Raisi na Speeker Ndugai kwa kuziba mianya ya ufujaji wa fedha uliokuwa ukifanywa na Wabunge. Endeleeeni hivyo hivyo hadi kugombea Ubunge iwe ni wito na sio Biashara kubwa inayokimbiliwa kama ilivyozoeleka sasa.
Upumbaf
 
Mmmh! mbona kama hoja zote zile ni za Mh. Jepesi mwenyewe, ingawa hazina mashiko
Inatakiwa zijibiwe, hivi CCM tumekua watupu kiasi hiki hakuna vijana wa kujibu hoja za Zitto kwa hoja mahiri. Kizazi cha kubebwa hiki, ningeshauri wapelekwe JKT miaka miwili na mazoezi mazito
 
Back
Top Bottom