Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

C bora wafe madiver wanne lkn wananchi 10 wakaokolewa. Ebu acheni siasa. Hivi unajua wanaccm mtakuja kulia kuliko Opposition. Kwasababu nyie mtakuwa Malia na kusema mwno kwa sababu sanamu mmelichonga wenyewe na kuliweka. Ni hapo sasa mtakapokuwa mnalia, Opposition wanawang'ong'a TULIWAAMBIA!!! Halafu siyo mbali yaani soon
 
Wewe na yeye ni mazwazwa tu divers walikua sahihi kusema vile sababu hawakua na vitendea kazi maana naona divers wana boxer tu sasa mkuu wa mkoa anashindwa kusema hatukua na vifaa rafiki kwa kufanyia kazi muda wa usiku wapuuzi tu ndo watatumia neno giza kama kichaka cha kujifichia wenzetu usiku na mchana kunatofautishwa na usingizi tu
 
Kweli kabisa, ila kitaifa hakukuwa na msaada wowote kuhakikisha zoezi linaendelea?. Hawa wanaoitwa wenyeviti wa usalama wa mikoa ni usalana wa chama wala sio wa raia.
 
18th century Ulaya ilikumbwa na mageuzi makubwa. Ni baada ya kuibuka kikazi cha INTELLECTUALS kilichoanza kufanya mambo kwa kufikiri badala ya MAZOEA/MIHEMUKO, kiliitwa AGE OF REASONS. Tawala haramu zilianguka kipindi hicho, hivyo Tanzania kuna haja ya kutengeneza kikazi cha AGE OF REASONS kuleta mabadilko Sina maana kwamba kwasasa kuna Tawala haramu hapana ila kuna haja kutengeneza kizazi cha aina hiyo
 
Huu ni msiba wa kitaifa na hauna siasa isipokuwa kwa small minded people!
 
Kama kweli ulikuwepo eneo la tukio, maelezo yako yamenisikitisha sana
 
Tanzania siku hizi kumekuwa na watu wanatetea jambo kwa maslahi binafsi.yuko tayari akukane au atunge uongo kwa faida yake binafsi huku huo uongo ukiwauumiza hata ndugu zake wa karibu.je kutetea Shida au maafa kwa mwenzio ndiyo kujenga mshikamano wa kitaifa au kubomoa
 
Na hilo suala lililojitokeza ndani ya maji ni siri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…