Ukanda bado unakitafuna chama chetu CCM

Ukanda bado unakitafuna chama chetu CCM

Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.

Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.

Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.

Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!

Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Hivi ni kweli una kipara au walikuzushia kama unavyozusha hapa🙁🙁
 
Wanasiasa ni BIDHAA, they have got a price! Kuhama kwa excuse ya KUUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS, ni kichaka cha kuficha the real sababu. The very top priority ya awamu ya 5 ni kuua chama imara cha upinzani (CDM), hatutaki yajirudie yale ya 2015 ya ugumu wa uchaguzi ya kuambulia 50+.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.

Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.

Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.

Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!

Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
chagueni wafia chama kama kina MWITTA au NGEDERE au yulee wa kino anaempenda MAGU sanaaaa
 
chagueni wafia chama kama kina MWITTA au NGEDERE au yulee wa kino anaempenda MAGU sanaaaa
Pole sana mkuu huwezi kuamini ukiambiwa mfia chama mkuu pia ana kadi ya chama dume!
 
Pole sana mkuu huwezi kuamini ukiambiwa mfia chama mkuu pia ana kadi ya chama dume!
hata mzee wa mihogo anayo aligoma kuitoa ameambulia ubalozi.. nunueni tu mkishamaliza mnunuane wenyewe
 
hata mzee wa mihogo anayo aligoma kuitoa ameambulia ubalozi.. nunueni tu mkishamaliza mnunuane wenyewe
Ndio ubaya wa kukaririshwa hamuwezi kuhoji udhaifu wa uongozi wala nini!
 
Back
Top Bottom