Ukanda bado unakitafuna chama chetu CCM

Ukanda bado unakitafuna chama chetu CCM

Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.

Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.

Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.

Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!

Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Cheyo ni mwenyekiti wa UDP tangu ianzishwe mpaka milele na wala watu hawakerwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila Mbowe chadema ingekuwa ilishakuwa Kama vyama vingine tu.

Hao wachonganishi hawawezi kumyumbisha mbowe.
Ukizaliwa familia yenye hela huwezi kubabaishwa na vihoja vya kimaskini na kuhama chama Kama hao wengine.

Mashinji mwenyewe ni mtu wa system.
Hakuna mtu ataweza kuipitisha chadema zaidi ya mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
ata mandela aliikomboa ZA lakin hajamaliza mihula 10 akaachia nchii na iimaendeleo iko mbali sana nafkiri ni ya 2 kama sio 3 africa mwenyekiti anaeza akapisha mwingine hujui mpya atakuja na mbinu gani kukalia kiti miaka yote huo ni uroho wa madaraka acha kutetea ujinga bhnaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mpaka sasa bank 4 zimefungwa kwa hasara

Cement bei juu

sukari bei juu

tangu 2015 hadi leo hakuna salary increment

Wadhamini wa ligi kuu wamejitoa biashara hakuna

Trilion 1.5 ya bajeti imefisadiwa kwa mujibu wa report ya CAG

kwa miaka 3 ya Magufuli deni la taifa limepaa kutoka Trillion 28 hadi Trillion 60.

"Watanzania tembeeni vifua mbere kama meza ya kamari we are one the raiti traki"
Sukari imeshuka kutoka 5000 hadi 3000 na kila mmoja wetu anasukuma Noah ya rangi aipendayo....raha mpk tunanenepa hovyo hovyo!
 
Mbowe anawatesa maccm yenu yamewashinda ya kusigina katiba yenu na kuwa chini ya one man mnakimbilia ya chadema mtapata tabu sana
Ha ha ha ,Hayo ndio mapovu yenyewe
Bado unatema mapovu
 
Tunajua sababu ya chama kupoteza majimbo ni mapanga visual na marungu kutoka kwa wazuia uhalifu.kifo kikiwajilia mkiibe kama mnavyoiba kura.uchumi umeshuka huko ninyi hangaikeni na mbowe tu na mhutu wenu.
Wananchi wameshtukia utapeli wa kisiasa sasa wanataka maendeleo tu ndio maana wanachagua maendeleo toka ccm!
 
Kwani umesikia mwanaccm gani anamzungumzia mbowe isipokuwa wanachadema wenyewe!

Nyie mapimbi wa CCM ndiyo kutwa kucha mnajadili uenyekiti wa Mbowe, wapumbavu sana nia yenu muweke pandikizi ili muimalize Chadema, baada ya kushindwa sasa mnaitumia Mahakama kumfunga jela,wajinga sana nyie vibwengo.
 
ila Mbowe nikweli ni mwizi tukubali tu ukweli mbowe ni mwizi japo naipenda CDM lkn Mbowe ni mwizi kubalini ukweli Mbowe mwizi fedha nyingi sana za ruzuku hazijulikani nini zinafanya wanachadema wenzangu Mbowe mwizi
Akili za ccm ni zero kabisa. Hivyo ndivyo ulivyoweza kututhibitishia wizi wa Mbowe? Uandishi wenyewe wa kibashite sana! paragraph moja fupi tu lakini neno 'mwizi' limejirudia mara tano utadhani unajifunza kutunga shairi! Hiyo ni ishara ya kutokujua unachokisema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mapimbi wa CCM ndiyo kutwa kucha mnajadili uenyekiti wa Mbowe, wapumbavu sana nia yenu muweke pandikizi ili muimalize Chadema, baada ya kushindwa sasa mnaitumia Mahakama kumfunga jela,wajinga sana nyie vibwengo.
Jumatatu wahi mirembe nafikiri umewacha kumeza dawa!
 
Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.

Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.

Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.

Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!

Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Hivi kwa sasa tukiwa na debate ya general knowledge in East Africa Tz kweli vijana wetu wataongea nini .? Naona kama tunaporomoka kwa kasi. Hata University students wetu sasa no critical thinking,no questioning at all. Kilichobaki ni vyama. I was shocked a university student does not know why we fought for independence in 1961 ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom