kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,230
- 9,497
Bro mapovu hayoKweli nimeamini , nyani haoni kundul*, nyie chadomo pua zilivyotanuka hamjioni?

Bro mapovu hayoKweli nimeamini , nyani haoni kundul*, nyie chadomo pua zilivyotanuka hamjioni?

Cheyo ni mwenyekiti wa UDP tangu ianzishwe mpaka milele na wala watu hawakerwiMambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.
Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.
Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.
Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!
Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
ata mandela aliikomboa ZA lakin hajamaliza mihula 10 akaachia nchii na iimaendeleo iko mbali sana nafkiri ni ya 2 kama sio 3 africa mwenyekiti anaeza akapisha mwingine hujui mpya atakuja na mbinu gani kukalia kiti miaka yote huo ni uroho wa madaraka acha kutetea ujinga bhnaaBila Mbowe chadema ingekuwa ilishakuwa Kama vyama vingine tu.
Hao wachonganishi hawawezi kumyumbisha mbowe.
Ukizaliwa familia yenye hela huwezi kubabaishwa na vihoja vya kimaskini na kuhama chama Kama hao wengine.
Mashinji mwenyewe ni mtu wa system.
Hakuna mtu ataweza kuipitisha chadema zaidi ya mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe anawatesa maccm yenu yamewashinda ya kusigina katiba yenu na kuwa chini ya one man mnakimbilia ya chadema mtapata tabu sanaBro mapovu hayo![]()
![]()
![]()
![]()
Sukari imeshuka kutoka 5000 hadi 3000 na kila mmoja wetu anasukuma Noah ya rangi aipendayo....raha mpk tunanenepa hovyo hovyo!mpaka sasa bank 4 zimefungwa kwa hasara
Cement bei juu
sukari bei juu
tangu 2015 hadi leo hakuna salary increment
Wadhamini wa ligi kuu wamejitoa biashara hakuna
Trilion 1.5 ya bajeti imefisadiwa kwa mujibu wa report ya CAG
kwa miaka 3 ya Magufuli deni la taifa limepaa kutoka Trillion 28 hadi Trillion 60.
"Watanzania tembeeni vifua mbere kama meza ya kamari we are one the raiti traki"
Bado unatema mapovuMbowe anawatesa maccm yenu yamewashinda ya kusigina katiba yenu na kuwa chini ya one man mnakimbilia ya chadema mtapata tabu sana
Ha ha ha ,Hayo ndio mapovu yenyewe

Wananchi wameshtukia utapeli wa kisiasa sasa wanataka maendeleo tu ndio maana wanachagua maendeleo toka ccm!Tunajua sababu ya chama kupoteza majimbo ni mapanga visual na marungu kutoka kwa wazuia uhalifu.kifo kikiwajilia mkiibe kama mnavyoiba kura.uchumi umeshuka huko ninyi hangaikeni na mbowe tu na mhutu wenu.
Kwani umesikia mwanaccm gani anamzungumzia mbowe isipokuwa wanachadema wenyewe!Cheyo ni mwenyekiti wa UDP tangu ianzishwe mpaka milele na wala watu hawakerwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maisha yetu lowassa yupo chadema lakini ana kadi ya ccm!
mod's wamefanya yao jiwe lilirushwa kizani wao wakalidaka na kuelekeza wanako taka wao!
Kwani umesikia mwanaccm gani anamzungumzia mbowe isipokuwa wanachadema wenyewe!
Hata mm nimeionaMkuu salama? Hebu nifanyie uislamu uiweke hiyo KILIPU Tafadhari.
Akili za ccm ni zero kabisa. Hivyo ndivyo ulivyoweza kututhibitishia wizi wa Mbowe? Uandishi wenyewe wa kibashite sana! paragraph moja fupi tu lakini neno 'mwizi' limejirudia mara tano utadhani unajifunza kutunga shairi! Hiyo ni ishara ya kutokujua unachokisemaila Mbowe nikweli ni mwizi tukubali tu ukweli mbowe ni mwizi japo naipenda CDM lkn Mbowe ni mwizi kubalini ukweli Mbowe mwizi fedha nyingi sana za ruzuku hazijulikani nini zinafanya wanachadema wenzangu Mbowe mwizi
Jumatatu wahi mirembe nafikiri umewacha kumeza dawa!Nyie mapimbi wa CCM ndiyo kutwa kucha mnajadili uenyekiti wa Mbowe, wapumbavu sana nia yenu muweke pandikizi ili muimalize Chadema, baada ya kushindwa sasa mnaitumia Mahakama kumfunga jela,wajinga sana nyie vibwengo.
Wewe bado unataka mikakati wakati watu wapo kwenye vitendo!Leteni mipango mikakati ya kufikia kwenye uchumi wa viwanda hizi propaganda uchwara hazina manufaa yoyote kwa wananchi wa kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa sasa tukiwa na debate ya general knowledge in East Africa Tz kweli vijana wetu wataongea nini .? Naona kama tunaporomoka kwa kasi. Hata University students wetu sasa no critical thinking,no questioning at all. Kilichobaki ni vyama. I was shocked a university student does not know why we fought for independence in 1961 ?Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.
Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.
Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.
Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!
Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Jumatatu wahi mirembe nafikiri umewacha kumeza dawa!