kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
- Thread starter
- #121
Hujaelewa nini navyo ndivyo dunia inavyokwenda!
Hujaelewa nini navyo ndivyo dunia inavyokwenda!
Mwenyekiti wako anatokea wapi!KWANI MWENYEKITI WA CCM ANATOKEA KASKAZINI? LINI CCM MMEFANYA UCHAGUZI NA JIWE AKATOLEWA UENYEKITI
Ubatizo wa moto unafanya kazi utakaa sawa tu!
Ogopa sana ALBADILI naona ishaanza kuwaingiliaUbatizo wa moto unafanya kazi utakaa sawa tu!
Mchawi na msaliti kazini!
Habari kama yajichanganya vile. Kwenye kichwa cha habari kuna CCM, lakini habari yenyewe yaonekana kuihusu CDM.Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.
Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.
Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.
Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!
Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Kashindwa BASHITE itakuwa wewe?kamuokoe bandarini huko makonteina yanazamishwaMwenyekiti wako anatokea wapi!
Nasikia umehama kituo cha dawa huchukulii mirembe tena!
Mirembe umebakia weweNasikia umehama kituo cha dawa huchukulii mirembe tena!
Mtakaa sawa tu kama unachanganyikiwa dk magu atawatibu maradhi yenu!Habari kama yajichanganya vile. Kwenye kichwa cha habari kuna CCM, lakini habari yenyewe yaonekana kuihusu CDM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nendeni nyinyi si ndio watetezi wa wakwepa kodi!Kashindwa BASHITE itakuwa wewe?kamuokoe bandarini huko makonteina yanazamishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakutibu wewe maana nasikia umeachikaMtakaa sawa tu kama unachanganyikiwa dk magu atawatibu maradhi yenu!
DAB ni mwizi nawewe ndiye kijakazi wakeNendeni nyinyi si ndio watetezi wa wakwepa kodi!
Yaonekana umedesa.Mtakaa sawa tu kama unachanganyikiwa dk magu atawatibu maradhi yenu!
Utahangaika sana na vipost vyako uchwara kulazimisha post,pumbafMtakaa sawa tu kama unachanganyikiwa dk magu atawatibu maradhi yenu!
Tulia dawa ndio inaingia!
Mna andaa mandamano ya kumtetea mkwepa kodi kama mlivyomtetea yule bilicanas
anatokea chatoMwenyekiti wako anatokea wapi!