Ukanda bado unakitafuna chama chetu CCM

Ukanda bado unakitafuna chama chetu CCM

Bila Mbowe chadema ingekuwa ilishakuwa Kama vyama vingine tu.

Hao wachonganishi hawawezi kumyumbisha mbowe.
Ukizaliwa familia yenye hela huwezi kubabaishwa na vihoja vya kimaskini na kuhama chama Kama hao wengine.

Mashinji mwenyewe ni mtu wa system.
Hakuna mtu ataweza kuipitisha chadema zaidi ya mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa Mbowe akimchagulia nini mtu mwenye kiapo kama huyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.

Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.

Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.

Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!

Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
KWANI MWENYEKITI WA CCM ANATOKEA KASKAZINI? LINI CCM MMEFANYA UCHAGUZI NA JIWE AKATOLEWA UENYEKITI
 
mpaka sasa bank 4 zimefungwa kwa hasara

Cement bei juu

sukari bei juu

tangu 2015 hadi leo hakuna salary increment

Wadhamini wa ligi kuu wamejitoa biashara hakuna

Trilion 1.5 ya bajeti imefisadiwa kwa mujibu wa report ya CAG

kwa miaka 3 ya Magufuli deni la taifa limepaa kutoka Trillion 28 hadi Trillion 60.

"Watanzania tembeeni vifua mbere kama meza ya kamari we are one the raiti traki"
hahahahaha! you made my day!
 
Mbowe asiachie uenyekiti wa CDM mpaka ccm wasalimu amri.
CCM wameanza kuweweseka,wameshindwa kuleta maendeleo (V wounder) wamebaki kuisakama CDM
 
Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.

Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.

Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.

Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!

Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Kifafa ni ugonjwa unao kutafuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila Mbowe chadema ingekuwa ilishakuwa Kama vyama vingine tu.

Hao wachonganishi hawawezi kumyumbisha mbowe.
Ukizaliwa familia yenye hela huwezi kubabaishwa na vihoja vya kimaskini na kuhama chama Kama hao wengine.

Mashinji mwenyewe ni mtu wa system.
Hakuna mtu ataweza kuipitisha chadema zaidi ya mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm hawalali kisa mbowe kukataa kununuliwa kama kina lyatonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mpaka sasa bank 4 zimefungwa kwa hasara

Cement bei juu

sukari bei juu

tangu 2015 hadi leo hakuna salary increment

Wadhamini wa ligi kuu wamejitoa biashara hakuna

Trilion 1.5 ya bajeti imefisadiwa kwa mujibu wa report ya CAG

kwa miaka 3 ya Magufuli deni la taifa limepaa kutoka Trillion 28 hadi Trillion 60.

"Watanzania tembeeni vifua mbere kama meza ya kamari we are one the raiti traki"
Na leo mapangashwaa imevuka mipaka ya wakoloni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.

Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.

Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.

Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!

Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Lazima utakua mkazkazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom