mjukuum
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 5,257
- 2,826
Wewe kabira gani!???Njoo mjini tuwe wachuuzi.., waache wanyakyusa na wapogoro walime maana wao ndio wanamvua
Wewe kabira gani!???Njoo mjini tuwe wachuuzi.., waache wanyakyusa na wapogoro walime maana wao ndio wanamvua
Yule jamaa aliyesema atawaleta watu wa mvua aombwe afanye mchakato tena.Mvua ya Thailand!
Uko wapi? unipokee mjini naona nuru inakaribia kuniangazia teh teh.Karibu town, mimi mambo kilimo niliwachia wazee huko kwetu ngara. salon kwa siku 20-45k, na mashosti kibao Approx gunia 10-15 za mahindi kwa mwezi. So miezi 6 (msimu mmoja) sawa na gunia 60. Na nipo mrembo ukiniona utadhani under 17.
Mmmh....kama ni ke karibu nipo mtwara kama ni me utaweza kazi za salon?Uko wapi? unipokee mjini naona nuru inakaribia kuniangazia teh teh.
Muulize Mwele alitoa tahadhari ya nini vile, halaf kilichompata ni nini?Piga magoti usali. Watabili wa hali ya hewa walisema mapema kuwa mwaka huu hakuna mvua wakiimply kwamba mwaka 2017 ni njaa. Cha ajabu mpaka sasa serkali haitaki kutoa taadhali ya njaa 2017. Na mkulu alisema hatoi chakula cha msaada.
Padre nakusalimu tu kwemaMbona Mimi ni na ten years sasa sijafanya chochote na mwanamke
Mmhh.....mimi kazi yangu kuwasuka vichwa vya akina mama mapeshee! A.Dangote namsikia tu.Nifanyie mpango hata kwa Dangote!
Umeolewa mrembo?Karibu town, mimi mambo kilimo niliwachia wazee huko kwetu ngara. salon kwa siku 20-45k, na mashosti kibao Approx gunia 10-15 za mahindi kwa mwezi. So miezi 6 (msimu mmoja) sawa na gunia 60. Na nipo mrembo ukiniona utadhani under 17.
Karibu town, mimi mambo kilimo niliwachia wazee huko kwetu ngara. salon kwa siku 20-45k, na mashosti kibao Approx gunia 10-15 za mahindi kwa mwezi. So miezi 6 (msimu mmoja) sawa na gunia 60. Na nipo mrembo ukiniona utadhani under 17.
Dah...basi mi nikadhani ni ukame wa kutokupata demu.
Lemme get my mind out of the gutter.
Nilivyoona heading nimekuja fasta nikajua ukame wa UNYUMBA!
Unazungumzia Ulaya au Tanzania mkuu,Tanzania bado tupo karne ya 17 hatujaanza hata agrarian revolution!! simu na magari ndio vinatuzubaisha tujione kama tuko karne ya 21.Karne ya 21 kutegemea kilimo cha Mvua ni kutumia Kidole Chenye Maumivu kusaka sehemu yenye Maumivu kwny Mwili!