Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,137
- 27,083
Mkuu Kyela pia mvua hakuna...hali ni mbaya kwakweli!!Hii hali ya ukame inanitesa wadau, mvua hazinyeshi pande hizi, mahindi yangu niliyopanda yamejikaukia, ukame huu mpaka lini? Vipi hali ya ukame pande zako mdau?