ungemsaidia kama angekua nao?Nilivyoona heading nimekuja fasta nikajua ukame wa UNYUMBA!
Nilivyoona heading nimekuja fasta nikajua ukame wa UNYUMBA!
Mbona Mimi ni na ten years sasa sijafanya chochote na mwanamkeDah...basi mi nikadhani ni ukame wa kutokupata demu.
Lemme get my mind out of the gutter.
Hii hali ya ukame inanitesa wadau, mvua hazinyeshi pande hizi, mahindi yangu niliyopanda yamejikaukia, ukame huu mpaka lini? Vipi hali ya ukame pande zako mdau?
Karibu town, mimi mambo kilimo niliwachia wazee huko kwetu ngara. salon kwa siku 20-45k, na mashosti kibao Approx gunia 10-15 za mahindi kwa mwezi. So miezi 6 (msimu mmoja) sawa na gunia 60. Na nipo mrembo ukiniona utadhani under 17.Hii hali ya ukame inanitesa wadau, mvua hazinyeshi pande hizi, mahindi yangu niliyopanda yamejikaukia, ukame huu mpaka lini? Vipi hali ya ukame pande zako mdau?
Kuna mvua au kilimo cha umwagiliaji!?Njoo mjini