Afadhari Mimi niliacha kazi mapemaaa na vyeti vyangu vya kufoji vipo chini ya uvungu!
tunae mwalimu jipu hapa shule ya msingi msanga wilaya ya chamwino karibu kabisa na ikulu ndogo ya chamwino dodoma jina lake halisi ni prisca nyonyo alikuwa nyuma yangu kimadarasa anatumia cheti cha dada yake anaitwa stella nyonyo kwahiyo kwa sasa anaitwa stella nyonyo, stella nyonyo origino ni mtumishi pale manisipaa dodoma ni nesi. kazi kwako mr kaponda afisa elimu mkoa wa dodoma.
Afadhari Mimi niliacha kazi mapemaaa na vyeti vyangu vya kufoji vipo chini ya uvungu!
Kwenye vyeti tupo mtaani tu hatuna kazi..wangeanza na polisi..
Kuna mwalimu anaitwa hidaya alafu ni wa kiume hawa ndo watakuwa wakufoji fyeti.
JwTZ kitakachowasaidia ni ile sheria yao kuwa ukimaliza tu depo regardless education level ndo umesha win na kama unakumbuka vizuri nafasi nyingi za TPDF miaka ya nyuma ni darasa la saba na form four mostly failures
Katika kuhakikisha wafanyakazi wa Serikali ni wale wenye sifa stahiki, Serikali imeanza ukaguzi wa vyeti ili kuhakiki kama ni vyeti ambavyo sio feki.
Baadhi ya mikoa walimu wametakiwa kuwasilisha vyeti vyao kwa uhakiki.
Baada ya walimu wataofuata ni Halmashauri zote nchini kwa kuwa fedha nyingi za maendeleo hupelekwa huko.
Connect Dots fedha za Elimu kupelekwa moja kwa moja kwa wakuu wa shule.
Mkuu una akili Saabs hilo litakwepwa tu.Waanze na wanaotakiwa kukagua, yaani wakaguaji na mabosi wao kwanza ndo wakaguliwe baada ya hapo ndo wakakague sasa.
Tegemeeni watu wengi kupoteza uhai kwa kiharusi. Tena nawashauri wahakiki vyeti vyote kuanzia sekondari yaani form four hadi vyuo. Tunaweza kushangaa asilimia 75 wana vya magumashi.
Kwenye vyeti tupo mtaani tu hatuna kazi..wangeanza na polisi..
Ni hatari kwa taifa kuwa na vijana wanaofikiri kuajiriwa badala ya kuwa na fikra za kutengeneza ajira.