Ukaguzi wa mapaja Jiji la Dar ijumaa hii

Ukaguzi wa mapaja Jiji la Dar ijumaa hii

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Ongezeko la wanawake wanaondesha magari jiji la Dar limekuwa kubwa sana na wanawake hao wamekuwa wakivaa nguo fupi kwa makusudi kabisa.

Hivyo mimi SUPU YA MAWE nina mpango wa kukagua mapaja ya wanawake wote watakaovaa nguo fupi ijumaa hii huku wakiendesha magari na gari zao hazina tinted.

UENDESHWAJI WA ZOEZI
Zoezi hili litafanyika maeneo yote yenye foleni ndani ya jiji hili, nitakodi bodaboda asubuhi muda wa watu kwenda kazini na jioni wanaporudi kazini.

Dereva wa bodaboda atapaswa kupita katikati ya magari ili niweze kuangalia mapaja vizuri upande wa kushoto na kulia.

Baada ya uchunguzi wa kina wa mapaja ya wanawake wa Dar, nitakuja kuwasilisha report hapa jukwaani ikiambatana na mapendekezo.

Kwa aliyetayari kuungana nami katika ukaguzi wa MAPAJA tafadhali ni PM maana jiji hili kubwa kwa mtu mmoja kufanya ukaguzi, pia kwa wenye bodaboda nahitaji msaada wenu.

IJUMAA HII HATULALI BILA KUKAGUA MAPAJA

BY: SUPU YA MAWE
 
Last edited by a moderator:
Wenzio wanaacha mapaja makusudi wazi kurusha roho wanaotamani..
 
mie ungekuwa unakagua tigo zao ningekuunga mkono.
 
Mimi naona ujinga tu...mbona pesa zao wanazificha benki?kwa hiyo pesa zao zina thamani kuliko miili yao
 
Mwenzako amenunua gari, amejenga, anaishi vizuri kwa ajili ya mapaja sasa wewe utakapofanya uchunguzi wako kuwa makini.
 
Mwenzako amenunua gari, amejenga, anaishi vizuri kwa ajili ya mapaja sasa wewe utakapofanya uchunguzi wako kuwa makini.
 
Aisee,
kama una hamu ya mapaja useme tu
tukuwekee hapa uone moto wake.
 
1405411566853.jpg Hili nalo litakagulika kweli ?
 
Back
Top Bottom