mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Ahsante ndugu, nimeshaongezea.
Makamu wa Rais - Zenje
Mkuu - Lindi
Spika - Dodoma
Naibu Spika - Mbeya
Mawaziri wandamizi ;
Lukuvi - Iringa
Mwakyembe - Mbeya
Simbachaweni - Dodoma
Makamba - Tanga
Ummy Mwalimu - Tanga
Maghembe - Kilimanjaro
Kairuki - Kilimanjaro
Mpango - Kigoma
Ndalichako - Kigoma
Mwigulu - Singidag
Mbarawa - Zenji
Kabudi - Dodoma
Nape - alikuwa Lindi
Muhongo - Mara
Mahiga - Iringa
Lwenge - Iringa
Mhagama - Ruvuma
Mwinyi - Zenji
Huu ukabila na ukanda upo wapi hapo, Lissu atavuna tu chuki anayopanda 2020