Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,667
- 26,136
You are welcome.Cool story bro, thanks. You are too kind.
You are welcome.Cool story bro, thanks. You are too kind.
Kwa hiyo kwa mpango huu mtaacha kusikia njaa sanaBritain woos Kenya with Sh170bn deals in summit
British Prime Minister Boris Johnson on Monday pitched £1.3 billion (about Sh170 billion) business opportunities to a Kenyan delegation led by President Uhuru Kenyatta at the inaugural UK-Africa Investment Summit held in London as the United Kingdom charts its post-Brexit economic ties. A...www.jamiiforums.com
Neno la kitaa...kama umeishi osterbay au tangerenyenu ujanani huwezi lielewa.
Neno la kitaa
Lugha ya kitaa hiyo mzee...huko kwenu haipo au kama nimekosea nisahihishe basi.Naona hata Watanzania huwa wanakusahihisha, tatizo wewe mbishi kuliko maelezo.
Lugha ya kitaa hiyo mzee...huko kwenu haipo au kama nimekosea nisahihishe basi.
Tunakuja kwa 'lesi' moja ya ajab. Kando na dili za KES 170Billion kwenye summit ya UK-Africa Invest. kuna hii biashara nyingine ya kando. Rais Uhuru alifungua rasmi shughuli za LSE.Kwa hiyo kwa mpango huu mtaacha kusikia njaa sana
Ki-English mkuu! You wili stei insaidi!Lugha gani itatumika ? kama ni kisukuma sawa.
Ni Marais 14 wa nchi za Africa ndo wamehudhulia wengine hawakuhudhulia,Kwahiyo sio Tanzania peke yake
Sent from my iPhone using JamiiForums
Komenti za ajabu sana hizi.
Kwani ni lazima kuchagua upande?
Matokeo ya haya yanayofanywa na serikali ya awamu hii bila shaka tutayajutia hapo baadae tukishayaona matokeo yake ambayo hayapo sasa hivi, na watu wala hawajishughulishi kuzitambua athari zitakazotukabili, na hata bila kujishughulisha hata kuzichambua tu tuzijue.
Sisi tumekomalia kuwa ni matajiri, na wengine wote wanatafuta tu kuja kutuibia utajiri wetu. Na bado watu na akili zao wanaamini mambo kama haya.
Nchi haikatazwi kulinda mali zake, lakini nyakati hizi sio za kujitenga na dunia.
Hapo namwona Rwanda, Uganda, Kenya..., wote washirika wetu kwenye jumuia yetu ya Afrika Mashariki. Sisi tutakuwa soko la hawa wenzetu bila ya ubishi.
Hata tukiamua kuwa na TanzaExit yetu hatutafua dafu, tutakwenda wapi! SADC nako hapatatosha na huko AfCFTA tutauziwa tu na hawa wenzetu wanaojenga misingi ya uwekezaji imara katika wakati 'critical' kama huu.
BTW: Hivi 2019 tumepata FDI kiasi gani? Hata kutaja tu siku hizi inakuwa ni aibu?
...duh!Tumeshaanza kujitegemea nakutoa misaada kwa nchi za kiafrica, hatuhitaji kwenda kwenye hizo summit acha waende mataifa masikini....
Sio kila summit ina maslahi kwa nchi
Baadae watasainishwa mkataba utakaotaka bidhaa za uingereza ziingie bila kulipa kodi
Msimfanye mkoloni hana akili
Sawa vizuri..... Nasubir hizo positive results.Tunakuja kwa 'lesi' moja ya ajab. Kando na dili za KES 170Billion kwenye summit ya UK-Africa Invest. kuna hii biashara nyingine ya kando. Rais Uhuru alifungua rasmi shughuli za LSE.Akazindua rasmi pia float ya green bond ya kwanza kutoka Kenya, yenye thamani ya $40Million! Corporate green bond kutoka kwa kampuni ya kikenya ambayo itakuwa 'denominated' kwa KES. Tegemea kuona kampuni zingine za Kenya zikichangamkia fursa kama hiyo ya kutanua misuli hadi UK na kuvutia wawekezaji. Tena chini ya muongozo wa serikali ya Kenya.