KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
You can say that, again and again..., huo ndio ukweli.Tusha fail kwenye diplomasia ya kimataifa. We are a laughing stock!
Nchi yetu Tanzania haijawahi, hata siku moja kuwa katika hali iliyomo kidiplomasia hivi sasa.
Tumebaki tu na wimbo "Economic Diplomaticy" bila hata ya kujishughulisha nayo. Mabalozi wanateuliwa na kupewa maagizo wafanye kivyao ambavyo hata 'support' kutoka nyumbani hakuna!
Wanabaki wanatishwa tu siku wanapolishwa viapo vyao, na hakuna lolote linalofuata baada ya hapo.