:help:
Habari zenu wadau, katika matumizi yagnu ya internet nimekuwa nikiingia kwenye websites mbalimbali za uuzaji wa bidhaa na kutoa huduma (mfano: amazon, ebay, ebooks e.t.c) ambazo zinahitaji malipo ya bidhaa hizo yafanywe kupitia PayPal account. Naomba msaada wa kujuzwa zaidi kuhusu hii PayPal, naamini kuna watu humu ndani walio na ufahamu kuhusu hili jambo
Ningependa maelezo hayo yanisaidie kufahamu yafuatayo:
1. PayPal ni nini?
2. Inafanyaje kazi/ inatumikaje?
3. Faida zake
4. Jinsi ya kujiunga na requirements za kujiunga
5. Na kwa kuwa huduma hii inainvolve money transactions, je inausalama kiasi gani?
pia kama kuna maelezo mengine ya ziada nje ya hizo guidelines ambayo yataniongezea ujuzi nitashukuru kuyapata.
Nawasilisha.
Moderators naomba msiimove hii thread kwenda kule Business and Economic Forum kwa sababu ninaamini huku ndiko nitakapopata michango mizuri zadi.
Habari zenu wadau, katika matumizi yagnu ya internet nimekuwa nikiingia kwenye websites mbalimbali za uuzaji wa bidhaa na kutoa huduma (mfano: amazon, ebay, ebooks e.t.c) ambazo zinahitaji malipo ya bidhaa hizo yafanywe kupitia PayPal account. Naomba msaada wa kujuzwa zaidi kuhusu hii PayPal, naamini kuna watu humu ndani walio na ufahamu kuhusu hili jambo
Ningependa maelezo hayo yanisaidie kufahamu yafuatayo:
1. PayPal ni nini?
2. Inafanyaje kazi/ inatumikaje?
3. Faida zake
4. Jinsi ya kujiunga na requirements za kujiunga
5. Na kwa kuwa huduma hii inainvolve money transactions, je inausalama kiasi gani?
pia kama kuna maelezo mengine ya ziada nje ya hizo guidelines ambayo yataniongezea ujuzi nitashukuru kuyapata.
Nawasilisha.
Moderators naomba msiimove hii thread kwenda kule Business and Economic Forum kwa sababu ninaamini huku ndiko nitakapopata michango mizuri zadi.