Ndugu zangu Watanzania, siyo kwamba Tundu Lissu, John Heche, John Mnyika, TEC, Sheikh Ponda, Ask. Mwamakula, Ask. Mwanamapinduzi, Ask. Mwamalanga, Ask. Bagonza, Ask. Shoo na wengineo wengi walio mstari wa mbele katika mapambano ya kupigania HAKI wana dhiki sana, hapana. Wangeweza kubaki na familia zao na kuendelea na shughuli zao na wasipungukiwe na chochote kile. Lakini kama wangetaka maslahi wangeungana na watawala. Wanafanya haya yote kwa ajili ya kuitengeneza Tanzania iliyo bora zaidi kwa vizazi vilivyopo na vijavyo.
Nawaomba sana Watanzania wenzangu, tuwaunge mkono kwa kutoa michango yetu ya hali na mali ili kazi hii iendelee.
Mungu awabariki sana.
Nawaomba sana Watanzania wenzangu, tuwaunge mkono kwa kutoa michango yetu ya hali na mali ili kazi hii iendelee.
Mungu awabariki sana.