goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,636
- 9,132
Me natumia simu ya mezani, TTCL
Safi sanaaaa Sakayo: nakuaminia.Wala sigusi
Iguse uone nitakachokufanya..??
Safi sana.Na mwanamke pia unatakiwa uiogope vile vile simu yangu ni yangu kila mtu abaki na simu yake
Tutapekua tu, na kuliamsha dude.
Smrt911: aminiaaa
Watatuua kwa presha...mbuzi zaoo...
Wengine maisha ni simple.. Sijawahi kufunga simu.. Ukitaka kushika..shika! Ila utaratibu wangu Sishiki simu ya MTU.. Kukiwa na kitu kinakuhusu mtu atakuonesha mwenyewe.
Kwa nn ushike simu ya MTU.. Au pry in his/her personal details? Unless its your job!
Na wale wanaochungulia simu za watu kwenye daladala ...dawa yao inachemka.
Hao ndo wakuwaogp sasa, hawajawahi fanya fake promise..Uamininifu hauko kwenye simu.
Je, wasio na simu utakataza wasishike nini!?
subutu! kugegedwa ugegede wewe !lolYako naigusa yangu uwez gusa kama umechoka kugegedwa sepa
DuuuhMimi kabla ya kuoa miongoni mwa terms and conditions tulizowekeana na mke wangu ni marufuku kuweka password kwenye simu,ninaweza kuchukua simu yake muda wowote na kupekua simu mzima na anaweza kuchukua simu yangu na kupekuwa simu yote.
Kama kila mtu ana siri yake sasa kwanini tulioana au kwanini tunaendelea kuishi pamoja.
Hio ndio maana ya ndoa mkuu, wala hujakosea , hata mimi ninampango wakufanya hivyo pindi nikimpata mchuchu wangu masharti ni hayo hayoMimi kabla ya kuoa miongoni mwa terms and conditions tulizowekeana na mke wangu ni marufuku kuweka password kwenye simu,ninaweza kuchukua simu yake muda wowote na kupekua simu mzima na anaweza kuchukua simu yangu na kupekuwa simu yote.
Kama kila mtu ana siri yake sasa kwanini tulioana au kwanini tunaendelea kuishi pamoja.
Wanakera sana mkuu, utakuta mtu anakula chabo kwenye simu kama yake!hhahaa kwakweli kuna watu wanachungulia simu kwenye madalaldala !hahaha ujinga sana
Mi simu ya mwanamke nitapekenyua na nitahack simu yake kabisa, siku hizi hakuna kuaminiana, sio katika mapenzi tu, hata mali pia, wanawake wengine wanakubali waolewe ili watapeli mali za waume