Ujumbe wa leo: Mama Mkwe

Ujumbe wa leo: Mama Mkwe

Elimu ya jando na unyago haikustahili kupuuzwa kikatili.
 
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.
Are you OK
Bila shaka unafanana na Ebitoke au Matumaini kwa mbaliiii
 
Back
Top Bottom