bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,360
mhm sasa kweli jamani wanawake kama hawa wakuoa!!?? sii wakugegeda tuu na kutupa kule
Hahahaha nacheka peke yangu mkuu eti ni wa kugegeda na kutupa kule hahahahaha
mhm sasa kweli jamani wanawake kama hawa wakuoa!!?? sii wakugegeda tuu na kutupa kule
hapo umenenaTena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.
hpo umesema shosty.mama mkwe sio mama ako hta.tena ukimuweka kama mamako utalia wengi sio wazuri.lkn ina2paswa 2waheshimu 2.mm mama mkwe wangu alitaka kunivuruga tena si kidog,ndoa ingekufa kma ningekuwa lele mama.mpk sawa chezea mm wewe.kingine, umpate mwanaume anaempenda mamake sana au last born bas wee utaisoma bila roho ya paka na hekima ndoa itakushinda.lastly,hyo mtto wake (wakiume)awe na vijisenti lahh?anaona kma vile unavimaliza hajui kma mnatafuta na mwanae aka.
Niolewe mara ngapi? usiitamani kesho wakati leo hujaimaliza
Niolewe mara ngapi? usiitamani kesho wakati leo hujaimaliza
wewe nae mpana ka chapati. kwani umeona mahali imeandikwa tupo pango moja?
wewe nae mpana ka chapati. kwani umeona mahali imeandikwa tupo pango moja?
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.
Kama ndo mumeo napiga talaka ukoo wenu mzimaTena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.
Milembe au Lutindi ni mahala sahihi kwako kwa sasa.
Kwa hali hiyo lazima ndoa iwe na shida maana haingozwi na wana ndoa bali ni watu wengine wa pembeni, hata busara ya mwanaume inatakiwa katika kulisimamia hili. ila kama mipango yote inafanywa na wazazi lazima watakuwa wanahoji kila hatua ya maendeleo yenuUmeona ee yani kuna mwengine huyo yy nikuwaweka wanae vikao tu mara hili siri wake zenu wasijue haya hayahusu wake zenu alafu ni mama mkwe wifi na shemeji zako hao wamekabidhiwa mtoto wawatu wakutunze utakunya cheche na kujamba moto mwisho wa mwezi ukifika tu huyo kashapiga cm ana muacha mtoto mweupeee mwisho wa mwaka huyo by suprise hee hamna hata bajaji ee hiyo kazi haikusaidii kabisa yani ni fujo alafu eti ni mama yangu kani fanyaje cjui aliekupenda ni mwanae na sio mamayake wee mzoee analake huyo
Mimi ni dume mkuu.Ila wanawake wa siku hizi wapo kidigitali sana yaani adabu,heshima na uvumilivu hakuna kabisa.Kazi yao ni uvivu tu na milawama isiyoisha(sio wote).Kama wewe ni mwanamke na hayajakukuta, yakishakukuta ndo utagundua kuwa huyu sio wa milembe wala lutindi.
Mama mkweeee.. Swadaktaaaaa nani kama mama mkweee..???
Unafanya mchezo ee.. Kama sio yeye mume ungempata wapi wewe??
We ujishaue kitaa nampenda baby wangu, ooh his handsome, responsible n blaaaaa..
Unafikir bila mama mkwee kumzaa na kukulelea ingekuwaje!
(Mungu amjalie maisha marefu my mama mkwe anipende asinipende, namheshimu na namthamini)
BTW I have a son too.. Ngoja nikalee vyema ka handsome boy kangu kwa ajili ya mkewe. Afu niije nipokeee za uso miee, but ntakuwa nshakamilisha wajibu wangu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kama ndo mumeo napiga talaka ukoo wenu mzima
Bold huo ni udaku, bado una mengi ya kujifunza kubali mapungufu usaidiwe.
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.