Ujumbe wa Dr. Chris Mauki

Yeah sure daddy, Kila mtu ana style yake ya kupenda. Na sio wanawake wote wanapenda little things kama douta hapa. Ila msitunyime bana, kudekezwa raha mweeee
 
wapo wengi tu wanaofanya vyote hivo na bado wanawake hulalamika na kucheat ndoa zao
 
hua Bina damu hawapo sawa the same and equal in character, feelings,thinking and IQ bado ukaja kugegedana na fundi magari aliekusaidia siku moja tu ulipopata pancha
 
Yeah sure daddy, Kila mtu ana style yake ya kupenda. Na sio wanawake wote wanapenda little things kama douta hapa. Ila msitunyime bana, kudekezwa raha mweeee
Nimekusoma Douta..Basi na ww usiwe na mkono mfupi kwenye kutoa..wanasema love is a two way street
 
hua Bina damu hawapo sawa the same and equal in character, feelings,thinking and IQ bado ukaja kugegedana na fundi magari aliekusaidia siku moja tu ulipopata pancha
Teh lakini sio excuse ya nyinyi kutotutreat na Vitu vidogo vidogo, mengine hayo ni matokeo tu. Mbona na sisi tunawacare mno but still mnachepuka, msitubanie bana
 
Nimekusoma Douta..Basi na ww usiwe na mkono mfupi kwenye kutoa..wanasema love is a two way street
Mimi tena daddy, ushawahi kusikia Paulo analalamika? Ananenepeana tu, chezea mahaba ya mnyaki Hahaha
 
Kuna siku niliona post yake thru rafiki yangu nika like ...toka siku hiyo sijaona tena cha maana anacho post...post zake zimekaa kimipasho zaidi...lakini kibongobongo pouwa tu
 
Wakati mwingine anaanza ...nyie mawifi nyie...sijui nini nini....zemekaa kike kike kwa kweli
 
Teh lakini sio excuse ya nyinyi kukutreat na Vitu vidogo vidogo, mengine hayo ni matokeo tu. Mbona na sisi tunawacare mno but still mnachepuka, msitubanie bana
nimekuelewa mama lakini tukiangalia idad ya wanaume wanaocare wakateswa ni wengi zaid ya wanawake wanaojituma wakateswa Mimi mwenyewe kuna someone nilimtreat normal akalalamika nikachange nikamtreat like an egg ndo nikajuta had tukabreak up
 
nimekuelewa mama lakini tukiangalia idad ya wanaume wanaocare wakateswa ni wengi zaid ya wanawake wanaojituma wakateswa Mimi mwenyewe kuna someone nilimtreat normal akalalamika nikachange nikamtreat like an egg ndo nikajuta had tukabreak up
Nakuelewa vizuri sana eti, ila kuwa tu positive kwenye kila kitu. Mengine yanayotokea ni mapito tu ya ulimwengu. Wewe wifi mtreat vizuri tu bana, unless anakuzingua
 
Nakuelewa vizuri sana eti, ila kuwa tu positive kwenye kila kitu. Mengine yanayotokea ni mapito tu ya ulimwengu. Wewe wifi mtreat vizuri tu bana, unless anakuzingua
kwel kabisa my dia to be positive ndo mpango mzma usikubali binadamu mwenzio akufanye chizi una ignore mabaya na kuvalue mazur yy mwenyewe atafeel guilty atachange
 
hakyanani wewe ukitaka upigiwe hadi ushangae na nafsi yako fanya hivyo ambavyo amesema huyo jamaa....wewe kaa kizembe zembe chukulia mapenzi ni sawa nakuleta choculate halafu akutane na mtu anayefanya mapenzi kazi....
 
Nyie huwa mnawafanyia nini wanaume?
 
mm nkishamla demu tigo hayo mengine cjui care,mara attention etc atajua mwenyewe...
 
Maisha hayana formula kwa ajili ya kukariri,ukija akazoea hizo suprise ndogo ndogo atakua anataka uanze kumfanyia kubwa kubwa!....tabia za binadamu ni ngumu saja kueleweka hata ukitumia mathematical models,kila mwanamke ana hulka yake mwenyewe ya mapenzi....acheni kuiga mnaowaona kwenye tamthilia za wafilipino ja wakorea,hao wanaigiza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…