Ujumbe wa Dr. Chris Mauki

Teh teh..Leo mtasema caring ndo mpango mzima,mgegedo waachie porno stars.....Zen kesho mnasema mwanaume bora akose pesa lakini sio uwezo kwa bed..Yani hamueleweki..kwani mna undugu na kinyonga?
Get your copy mate!
 
Hivyo vingine karibu kila mwanaume anajitahidi kuvitimiza. Hutu tuvitu tudogo tudogo mnatupuuzia sana tena especially mkishaoana. Wenzenu tunavipenda kweli
Nimeanza kusoma ili niwaelewe, ndio niko page ya 1254 volume 1

 
Teh teh..Mnaona mlivyo wabahili..Care za kutumia pesa hamtaki kuzisikia teh
Kwani care ni lazima utumie hela daddy? Zawadi zetu kuu huzijui kwani boxer, mashati etc teh

Daddy kumtumia ma mdogo text " baby nimekumiss sana, I love you so much". Jioni huyo umemchukua, bae let's go jogging, weekend mnaamua mpike wote (mjikute mnaacha mpira sasa teh), siku mashetani yako yameamka vizuri unamuandalia mama breakfast khaaaa ni sh ngapi hapo mmetumia?
 

Huyo Mauki itakuwa kashamaliza kusoma hii manual....
 
Hii ni special kwenu wakishua...sisi tunaokaa nyumba za kupanga vyumba sita wakazi 42 hayo hayawezekani....
 
Nisaidiwe? Nikikufuma unaamia huko huko.
 
"
Responses za wanawake ni nyingi na zimefagilia ujumbe huu, karibu kila mmoja akimalizia na kionjo "ufundi peleka maonyesho sabasaba au veta".[/QUOTE]

kwa nini mtu ang'ang'anie kuolewa au kuishi na mtu asiyefaa? Si uondoke ukaishi kwa hao wenye hivyo vigezo?

Pesa itaendelea kuwa namba moja kama msingi wa mahusiano hasa kwa wanawake wa mijini; suala la kujali au kutosheleza litapigiwa kelele pale tu akapokuwa amesolve matatatizo yake kwa kupata hizo pesa toka kwa mwanaume.

Kila siku humu JF tunasoma jinsi watu wanavyosaliti ndoa zao na jinsi kila mtu anvyojifanya fundi na mwema wa kumridhisha mwenzi wake lakini kilio cha haniridhishi hakikomi.
 
You want everything....money,attention,affection,A-game and everything......i guess YOU[women] offer same or more in return!!!
kwenye mapenzi hatuinvest bana, so we don't expect anything in return. Sometimes kuna vitu tunawafanyia simply because nyoyo zetu zinafurahia kufanya hivyo, na unaweza kuta ni Vitu ambavyo nyie mmevichukulia poa. Kuna vitu tunatamani kweli mtufanyie ila ndo hamna habari, as a result sisi tunaamua tuwafanyie nyie sasa and tunakuwa satisfied
 
Nimeanza kusoma ili niwaelewe, ndio niko page ya 1254 volume 1


Hahaha Jitahidi tu utuelewe, ndipo utakapokuwa na amani hapo baadaye. It's not difficult to please us eti lol
Hii ni special kwenu wakishua...sisi tunaokaa nyumba za kupanga vyumba sita wakazi 42 hayo hayawezekani....
Kwani jogging unafanyia hapo nyumbani? Kumtumia text nayo ni hadi uwe na nyumba yako? Afu si huwa una ile budget yako ya buku 10, mpeleke coco akale mihogo na mishkaki ya nyau teh. Wewe zingua tu hapa
 
Aisee kumbe....
 
Unanitania wewe...nitoke tandale nikapige jogging coco! Halafu mchana kutwa nimebeba zege,kisa?!
 
The Greatest mistake ni kumtazama mwanamke kwa mtazamo wa 'WANAWAKE HUFANYIWA a, b, c'.. Hakuna general formula ya kudeal na wanawake...
Remember:
Kila individual is unique so treat every individual according to their individual character NOT according to how you STEREOTYPE them
 
Anatuharibia dada zetu
 
Teh teh..Bora hata hivyo vidogo basi muwe mnanunua..Hamna kitu...

Hayo mahaba nayahifadhi kwa emergency use..we unataka nitumie silaha zote zen siku ikitokea vita nifanyaje(joking)...Nwei hayo mahaba yanategemea na mtu na mtu..Mwingine hata awe anampenda mwanamke vipi hawezi kufanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…