unaweza kutuwekea hiyo picha ktk size kubwa? haisomeki...Nini mtazamo wenu ?click hiyo pic ya Dada usome kilichokuwemo.
No, ilo jina lake kwa mazingira au mtizamo wa western language, ina maana ambayo ni insulting kidogo!That is something!! lol.
Sasa wao wanaoitwa Greenwood, Smith, albion, Atwater, Water, Baline, blair, Rice, Culver, Dove, hivi haya nayo ni majina ya kujisifia!
Pole Dada Asi Munisi
No, ilo jina lake kwa mazingira au mtizamo wa western language, ina maana ambayo ni insulting kidogo!
Asi kama jina, ukilipronounce haina tofauti na unavyo pronounce Ass!
(c) Majina kama Kissme, Mborro, Pumbhu, Gono na kadhalika ambayo ni ya kawaida sehemu nyingine za Afrika yanaweza kutustusha
Google Majina yafuatayo:Wee Kichuguu, haya majina umetunga bana...hayawezekani yakawa ya kweli...Lol
Hivi kwa mfano unafundisha chuoni (UDSM), halafu unapata mgeni toka Benin au Guinea Bissau aitwaye Dr. Mborro Pumbhu. Idara yako inamuandalia sherehe ya kumkaribisha halafu wewe mwenyeji wake mkuu ndio unatakiwa useme mawili matatu ya kumtambulisha na kumkaribisha rasmi. How would you do it with a straight face without cracking and start laughing?
Uko right, ni vizuri kukubaliana na ukweli huo. Dada Munisi angebadilisha jina ili kuepukana na kero ya jina lake kutafsiriwa vibaya. Hata kwetu kuna majina mengine ya nje tutashindwa kukubaliana nayo na tutawaomba wayabadiluishe, kwa mfano:
(a) Kuna majina kama Kumamoto, Kumagawa, Takauchi ambayo ni ya kijapani; ni dhahiri tusingeyapenda yatumike nchini kwetu.
(b) Albert Tom ba ni jina la bingwa wa zamani wa skiing huko Italy. Binafsi sikuwa napata amani kusikia jina hili kwenye TV mbele ya familia yangu.
(c) Majina kama Kissme, Mborro, Pumbhu, Gono na kadhalika ambayo ni ya kawaida sehemu nyingine za Afrika yanaweza kutustusha