Ujumbe kwa wanaume

Ujumbe kwa wanaume

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
10,551
Reaction score
19,736
Kwa wale ambao mmezoea kushiriki ngono bila kutumia Kinga chukueni ushauri ufuatao;

Pindi unapomaliza kushiriki tendo usirudi kuendelea kulala amka chap uwahi msalani kukojoa na kuosha uume wako Vizuri.Hii Ni kwa faida yako binafsi.

Hakuna mtu anayekuja kukushauri hivyo Tena.
Thank me later.
 
Back
Top Bottom