Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Ndiyo najua siku hizi watu hawaongei na Mungu kizembe ila nilikuwa nakwambia kuwa kuongea na Mungu hakukufanyi kuwa mkamilifu kwamba eti ndo hautatenda dhambi tena hapana wewe utabaki kuwa binadamu tu mwenye madhaifu sasa wewe unaongelea hao walioongea na Mungu Musa alimuona kabisa Mungu na ndo binadamu pekee aliyefanikiwa kumuona Mungu kwa macho haya ya nyama lakini bado naye alikuwa ana dhambi zake
kuongea na mungu live unafanya masihara! hayo ya kuongea na mungu yalikuwepo enzi za mababu na mababu huko kipindi ambacho madhambi yalikuwa sio mengi kama sasa, siku hizi hiyo kitu haipo kabisa. usidanganywe na manabii wajasiriamali wa sasa.

