Ujumbe kwa wanaume

Ujumbe kwa wanaume

Sasa sikupi andiko bali nakupa maandiko ambayo yanaonyesha kwamba Mungu alitaka ndoa ya mume mmoja na mke mmoja tu

Moja Mungu aliona kwamba si vema Adam awe peke yake akamfanyia msaidizi wake akamlaza usingizi kisha akautoa ubavu wake mmoja na akautumia kumuumba mwanamke mmoja tu naye ni Evah na hakumuongezea mke mwingine

Mbili mwanamume atawaacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja kumbuka ni mkewe siyo wakeze

Tatu mwanamume ampende mkewe na mwanamke amtii mumewe kumbuka tena ni mkewe siyo wakeze Nne kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe

Haya hayo yote ni maandiko nimeyatoa kwenye biblia kiufupi vile ambavyo Mungu alimuumbia Adam mwanamke mmoja tu ambaye ni Evah ndivyo alivyotaka ndoa zote ziwe hiyo ya kusema karuhusu makuhani na wachungaji tu ndo uone jinsi gani alivyoweka msisitizo kwamba kuwa na mke mmoja ndo muhimu

Kwahiyo wewe ubavu wako ni mwanamke mmoja tu na siyo zaidi hao wengine utakaowaongeza utakuwa unawadanganya wao na unajidanganya wewe pia na ukibishia hayo maandiko maana yake unabishia kwa jinsia zote mbili na nimekwambia Mungu hawezi kuhalalisha dhambi eti hata ingekuwa imefanywa na nani au na watu wengi kiasi gani yeye siku zote atasimamia amri zake tu


Unajua Biblia imegawanyika katika Vitabu vingapi Mkuu.

Biblia imegawanyika katika Makundi matano ya Vitabu.

1. Vitabu vya Hadithi na Historia.
Hapa kuna kitabu cha Mwanzo, Hesabu, Yoshua, Wamuzi, Ruthi, Samwel1,2. Wafalme I,2. Mambo ya nyakati, Ezra na Nehemia.

2. Vitabu vya Torati
Kutoka,Mambo ya walawi na Kumbukumbu la Torati.

3. Vitabu vya Zaburi.
Zaburi ya Daudi, Mithali, Mhubiri, Wimbo uliobora na Maombolezo.

4. Vitabu vya Manabii Wadogo.
Yeremia, Isaya, Ezekiel, Yona, Obadia N.k.

5. Vitabu vya injili.
Mathayo, Marko, Luka, Yohana, Thomas, Injili ya Magnalena n.k.

Kama hujui makundi hayo ni wazi Biblia huijui.

Sio kila fungu kwenye Biblia ni Sheria. Kunatofauti kati ya Mafundisho na Sheria za Mungu. Kwa kawaida Injili ni mafundisho yanayoelezea Sheria. Pia vitabu vya Historia kama vile Mwanzo aya zake si sheria bali zinatupa ujumbe na mafundisho mbalimbali katika sheria.

Sheria inasifa ya kukataza jambo fulani. Ndio maana utakuta neno ''USI'' Usiibe, Usizini. Usiue, n.k.

Hakuna sehemu inayosema usioe mwanamke zaidi ya mmoja zaidi ya sheria inayomhusu Askofu ambaye hutakiwa kuoa mke mmoja tena bikra.

Wewe unadhani kila jambo kwenye Biblia ni sheria. Hapo utakuwa umepotoka. Sheria zipo kwenye vitabu vya Torati ambavyo ni kutoka, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu La Torati. Sheria yoyote isiyotoka hapo ni batili. Na inachukuliwa kama Mapokeo tuu.

Nataka kusema nini hapa. Sheria haimkatazi mtu kuoa wake wengi na wala hakuna hukumu ya jambo kama hilo kwenye Biblia.

Ni kama wakristo wanavyokataza kutoa Talaka wakati Torati inaruhusu. Ni jambo baya kuipinga torati kwa kitabu kisicho cha torati.

Hata Yesu alitoa maoni na mapendekezo yake lakini sio sheria hivyo unaweza kuyafuata au usiyafuate. Mwenye Mamlaka ya kutoa sheria ni Mungu na wala si binadamu.

Hizo Aya zote ulizonukuu ni maono na mapendekezo ya hao manabii. Waislam huyaita Sunnah. Kumbuka Torati ni maneno ya Mungu moja kwa moja wala si maoni au mapendekezo au mafundisho kama ya mitume wakina Paulo au Petro au Mtume muhamad.
 
Habari MMU
Naomba niwape ujumbe nilioutafakari kwa kipindi kirefu,mimi sijaolewa kwa maana hio sijui ndoa ila ntawashauri wanaume mliooa wenye ndoa zenu.

Wanaume mna hii mentality kuwa huwezi kukaa na mwanamke mmoja, lazima uchepuke !

Umeanza kuchepuka mtoto wa watu anakupenda anaamini utatulia anakufanyia kila kitu chako kama kakuzaa,anakuzalia na watoto anawalea kama unamlipa. Wewe kazi yako kubwa ulioiona ni kujilisha upepo wa kucheat!

Haya basi mtoto watu kakaa kaona isiwe tabu mme wangu labda ndo nature yenu kucheat "my hubby Cheat in peace" basi unajiona ndo umeshinda kombe unabadili wadada kila siku dharau nyumbani.

Ngoja niwaambie kitu wanaume ,mwanamke akishakuacha u cheat in peace kwanza kashakuona wewe ni mpumbavu. Hata kama una miaka 50 wewe utabaki kuwa mpumbavu mbele yake!usijidanganye "mwanamke wangu ata hanifatilii yanii nna raha kweli"

Mynigga hakufatilii kwasababu hawezi kuhangaisha akili yake kwa ajili ya "mpumbavu"

Na wewe kuacha hawara zako wampande mkeo kichwani ni Upumbavu XXL.

Haicost kitu kuambia mpango wa kando nna mke mapenzi yetu yawe na mipaka, usinipigie masimu ovyo ovyo usinitumie masms huwezi kushindana na mtu anaenilea kwa kila kitu!

Ukiona unachepuka na mwanamke anaeshindwa kuyaelewa hayo muache tu mbona wamejaa sana ambao watakubaliana na term zako ili mjilishe upepo vizuri.

Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu!

Wewe chekelea kujilisha upepo na akina mwajuma wa buza kumbe unarogwa na wewe unachekelea.

Hakuna mwanamke kama mke wako,wewe jilishe upepo weeeh kwa mama fulani utarudi siku moja,jifunzeni kutofautisha kati ya An empress na concubine,Weka mpaka kati ya Hawara na Mke wa ndoa.

NB: Hii ni kwa wanaume waliooa wanawake wanaojielewa,wanaotimiza wajibu wote.

Wanawake mlioolewa na tabia zenu mbofu mbofu sina la kuwatetea.
Kwa hiyo wanawake MNA MCHANGO ZERO KWENYE UCHEPUKAJI WA WANAUME?
 
Basi kumbe hata wanawake nao wanaruhusiwa kusaliti ndoa zao na kuolewa na waume zaidi ya mmoja maana biblia haijakataza si ndiyo?
Unajua Biblia imegawanyika katika Vitabu vingapi Mkuu.

Biblia imegawanyika katika Makundi matano ya Vitabu.

1. Vitabu vya Hadithi na Historia.
Hapa kuna kitabu cha Mwanzo, Hesabu, Yoshua, Wamuzi, Ruthi, Samwel1,2. Wafalme I,2. Mambo ya nyakati, Ezra na Nehemia.

2. Vitabu vya Torati
Kutoka,Mambo ya walawi na Kumbukumbu la Torati.

3. Vitabu vya Zaburi.
Zaburi ya Daudi, Mithali, Mhubiri, Wimbo uliobora na Maombolezo.

4. Vitabu vya Manabii Wadogo.
Yeremia, Isaya, Ezekiel, Yona, Obadia N.k.

5. Vitabu vya injili.
Mathayo, Marko, Luka, Yohana, Thomas, Injili ya Magnalena n.k.

Kama hujui makundi hayo ni wazi Biblia huijui.

Sio kila fungu kwenye Biblia ni Sheria. Kunatofauti kati ya Mafundisho na Sheria za Mungu. Kwa kawaida Injili ni mafundisho yanayoelezea Sheria. Pia vitabu vya Historia kama vile Mwanzo aya zake si sheria bali zinatupa ujumbe na mafundisho mbalimbali katika sheria.

Sheria inasifa ya kukataza jambo fulani. Ndio maana utakuta neno ''USI'' Usiibe, Usizini. Usiue, n.k.

Hakuna sehemu inayosema usioe mwanamke zaidi ya mmoja zaidi ya sheria inayomhusu Askofu ambaye hutakiwa kuoa mke mmoja tena bikra.

Wewe unadhani kila jambo kwenye Biblia ni sheria. Hapo utakuwa umepotoka. Sheria zipo kwenye vitabu vya Torati ambavyo ni kutoka, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu La Torati. Sheria yoyote isiyotoka hapo ni batili. Na inachukuliwa kama Mapokeo tuu.

Nataka kusema nini hapa. Sheria haimkatazi mtu kuoa wake wengi na wala hakuna hukumu ya jambo kama hilo kwenye Biblia.

Ni kama wakristo wanavyokataza kutoa Talaka wakati Torati inaruhusu. Ni jambo baya kuipinga torati kwa kitabu kisicho cha torati.

Hata Yesu alitoa maoni na mapendekezo yake lakini sio sheria hivyo unaweza kuyafuata au usiyafuate. Mwenye Mamlaka ya kutoa sheria ni Mungu na wala si binadamu.

Hizo Aya zote ulizonukuu ni maono na mapendekezo ya hao manabii. Waislam huyaita Sunnah. Kumbuka Torati ni maneno ya Mungu moja kwa moja wala si maoni au mapendekezo au mafundisho kama ya mitume wakina Paulo au Petro au Mtume muhamad.
 
Mimi nafikiri hii inatokana na ile nature ya mwanamme aloumbwa nayo.
Mitara.

Kupambana na nature ni kazi,ila mabadiliko ya kimazingira,kibaiolojia na kiuchumi yanasaidia baadhi kubadilika.

Zamani hakukuwa na mayai ya kisasa.
Asante binti... unajua kuna muda upuuzi wa mwanaume kwa mwanamke ni busara za hali ya juu kwa mwanaume kutokana na tofauti zetu za kiasaili na ndio maana hiki anachokihubiri mleta mada kitaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia.
 
Asante binti... unajua kuna muda upuuzi wa mwanaume kwa mwanamke ni busara za hali ya juu kwa mwanaume kutokana na tofauti zetu za kiasaili na ndio maana hiki anachokihubiri mleta mada kitaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia.
Yaani kumfanyia mwenzio upuuzi ni busara kwako? Ila na nyie mkifanyiwa huo huo upuuzi na wanawake zenu mnawaona wabaya
 
Sipati picha mchepuko unakuroga,mke anakuroga na mfanyakazi mwenzio naye anakuroga hili collabo lazima uwe chizi walah.Wanaume wenye ndoa jitulizeni aisee.
 
Yaani kumfanyia mwenzio upuuzi ni busara kwako? Ila na nyie mkifanyiwa huo huo upuuzi na wanawake zenu mnawaona wabaya
Dada unateseka sana maishani ukiwa na akili hizi za kujiona kwamba chochote anachoweza kufanya mwanaume na wewe mwanamke pia unaweza ukakifanya na bado kika sound okay.

Mwanaume achepuke na wewe uchepuke, azae mtoto nje ya ndoa na wewe mwanamke uende ukabebeshwe mimba nje ya ndoa. Siku ukiingia kwnye hii situation ndio utaamini kwamba wewe uko tofauti sana na mwanaume na huwezi ukalingana nae kwa kila kitu.
 
Dada unateseka sana maishani ukiwa na akili hizi za kujiona kwamba chochote anachoweza kufanya mwanaume na wewe mwanamke pia unaweza ukakifanya na bado kika sound okay.

Mwanaume achepuke na wewe uchepuke, azae mtoto nje ya ndoa na wewe mwanamke uende ukabebeshwe mimba nje ya ndoa. Siku ukiingia kwnye hii situation ndio utaamini kwamba wewe uko tofauti sana na mwanaume na huwezi ukalingana nae kwa kila kitu.
Kuwa tofauti na sisi haiwapi guarantee ya kufanya hayo maovu are we communicating? Halafu mbona wapo wanawake wengi tu wanafanya hayo uliyosema and it sounds okay? Tena waume zao wanaumia kabisa my friend KARMA is real huu mchezo hauhitaji hasira ukichapa na wewe utachapiwa ukiiba na wewe utaibiwa so just be humble tuwe watazamaji tu
 
Kuwa tofauti na sisi haiwapi guarantee ya kufanya hayo maovu are we communicating? Halafu mbona wapo wanawake wengi tu wanafanya hayo uliyosema and it sounds okay? Tena waume zao wanaumia kabisa my friend KARMA is real huu mchezo hauhitaji hasira ukichapa na wewe utachapiwa ukiiba na wewe utaibiwa so just be humble tuwe watazamaji tu
Unajua ukiliangalia suala la infidelity kwa akili za kike utaona ni sawa kabisa mwanaume nachofanya na mwanamke nae ana haki ya kukifanya, ila utofauti unakuja kuonekana kwenye reaction. Jamii itakavyo react kwako wewe ni tofauti kabisa na jinsi itavyo react kwangu, yaani reaction yako itakuwa ni mbaya zaidi kuliko yangu nafikiri hata wewe mwenye unafahamu hili.

Hao wanawake wanaochepuka kama kulipiza kisasi baada ya waume zao kuchepuka jaribu kufuatilia mwisho wa mahusiano yao uone kama ni salama.. Yaani kabisa wewe ni mke wangu halafu nikuone unazunguka ndani kwangu na mimba kubwaaa ambayo nafahamu fika kabisa sio yangu halafu utegemee eti uhusiano wetu utaendelea kuwa salama..??? Dada kuna vitu unaweza ukajilinganisha na mwanaume lakini vingine huwezi hata kujaribu.
 
Unajua ukiliangalia suala la infidelity kwa akili za kike utaona ni sawa kabisa mwanaume nachofanya na mwanamke nae ana haki ya kukifanya, ila utofauti unakuja kuonekana kwenye reaction. Jamii itakavyo react kwako wewe ni tofauti kabisa na jinsi itavyo react kwangu, yaani reaction yako itakuwa ni mbaya zaidi kuliko yangu nafikiri hata wewe mwenye unafahamu hili.

Hao wanawake wanaochepuka kama kulipiza kisasi baada ya waume zao kuchepuka jaribu kufuatilia mwisho wa mahusiano yao uone kama ni salama.. Yaani kabisa wewe ni mke wangu halafu nikuone unazunguka ndani kwangu na mimba kubwaaa ambayo nafahamu fika kabisa sio yangu halafu utegemee eti uhusiano wetu utaendelea kuwa salama..??? Dada kuna vitu unaweza ukajilinganisha na mwanaume lakini vingine huwezi hata kujaribu.
Hapa swala siyo kujilinganisha ila swali langu ni hili kwahiyo wanaume mnafanya maovu kwa makusudi kwa misingi ya kwamba wanawake hawawezi kuwalipizia si ndiyo?
 
Unajua ukiliangalia suala la infidelity kwa akili za kike utaona ni sawa kabisa mwanaume nachofanya na mwanamke nae ana haki ya kukifanya, ila utofauti unakuja kuonekana kwenye reaction. Jamii itakavyo react kwako wewe ni tofauti kabisa na jinsi itavyo react kwangu, yaani reaction yako itakuwa ni mbaya zaidi kuliko yangu nafikiri hata wewe mwenye unafahamu hili.

Hao wanawake wanaochepuka kama kulipiza kisasi baada ya waume zao kuchepuka jaribu kufuatilia mwisho wa mahusiano yao uone kama ni salama.. Yaani kabisa wewe ni mke wangu halafu nikuone unazunguka ndani kwangu na mimba kubwaaa ambayo nafahamu fika kabisa sio yangu halafu utegemee eti uhusiano wetu utaendelea kuwa salama..??? Dada kuna vitu unaweza ukajilinganisha na mwanaume lakini vingine huwezi hata kujaribu.
Hakuna anayetakiwa kufanya infidelity kwa sababu hata maandiko yanakataza uzinzi na uasherati na hakuja jinsia iliyoruhusiwa kutenda dhambi tunaishi kwa kufuata sheria za Mungu na tutahukumiwa kwa kufuata sheria za Mungu

Na siyo mitazamo ya jamii nashangaa sana watu wanaowaza eti wakifanya hivi au wasipofanya vile jamii itawaonaje? Who is jamii? Kwani jamii ndo Mungu? Yaani eti niruhusu kikundi cha watu wenye dhambi kama mimi ndo wanihukumu kwa dhambi zangu?
 
Mkuu ukiona Mungu kalitolea maelezo jambo fulani kulisapoti ujue tayari kaliruhusu mbona unashindwa kuelewa mantiki ya teolojia.

Ili uone kama karuhusu ndio maana alitoa sheria isemayo Kuhani au askofu awe mume wa Mke mmoja. Kumaanisha wasio maaskofu na makuhani wanayoruhusa ya kuoa wake zaidi ya mmoja.

Sasa unakwama wapi. Mtu akitaka kuoa wake wengi anaruhusiwa kwa utaratibu maalumu ili kuepusha zinaa.

Haya embu nipe andiko linalosema mtu awe na mke moja mbali na lile linalomhusu Askofu.
Biblia inasema mtu atamwacha babaye na mamaye na hao wawili watakua mwili mmoja, na jingine alichokiunganisha Mungu mwanadamu asitengue
 
Back
Top Bottom