Ujumbe kutoka kwa mange kimambi

Ujumbe kutoka kwa mange kimambi

Uzuri ni kwamba Haya mambo yanafanyika faraghani! Ivi kama wazazi wanaingiana kinyume na maumbile wakiwa fararagha watoto wana cha kuiga kweli Hapo
Kama yanafanyika faraghani inakuaje sisi wa nje tunajua mambo yao
 
Kama yanafanyika faraghani inakuaje sisi wa nje tunajua mambo yao
Ni ufukunyuzi wetu ila kusema kwamba unaweza kujua au kujua kuna madhara hapana . Lakini pia tusisahau kuwa vile hakuwapotezei ubinaadamu wao je itakuwaje siku tukianza kutafuta watu wafupi, wanawake wenye ndevu na wanaume wenye makalio makubwa!?? Ili tuwaue hii itakuwaje itakuwa sawa siku tukitafuta wanaume wasiokuwa na nguvu za kiume ili tuwalazimishe wawaingilie wake zao?
Kuingilia faragha za watu kwa hisia. Haijakaa sawa! Kiubinadamu Lakini
 
Ushoga na usagaji ni kinyume na maadili hata kimaandiko haijakaa sawa. Katika hili hatuwezi kuweka huruma ni kuwaendea vilevile inavyotakiwa. Tukianza huruma tujiulize miaka ijayo generation ijayo si itayatandika viboko makaburi yetu kwa huu upumbavu?

Hakuna haki za binadamu kwenye ushoga na usagaji
 
Kama wangekuwa wamesababishiwa na wengine kuwa na hali hiyo kwa nini wajinasibu kwenye mitandao sasa? Si wangepambana kujiponya kuliko kuonesha waziwazo kuwa wanapenda huo uchafu. Kiasi cha kuambukiza ushetani huo kwa vijana wengine.wanaotetea huu ujinga wanajitakia kufa tu kwa kutetea uchafu huu. Maana safari hii haponi shoga, basha, msagaji wala watetezi wao. MUNGU hadhihakiwi
 
Ana hoja Tena kubwa
Ushoga ni trick inayoratibiwa na. CCM ili kututoa kwenye reli f*ck of Ccm leteni ripot Mpya za Bei ya Sukari na Mchele na wizi wa Ccm CAG
Genius , Critical Thinker, Having More than An Eagle [emoji102] eye. Direct and Open and Freeman.

Hizo ni sifa zako kwa uchache.
Hongera mkuu.
 
Kama wangekuwa wamesababishiwa na wengine kuwa na hali hiyo kwa nini wajinasibu kwenye mitandao sasa? Si wangepambana kujiponya kuliko kuonesha waziwazo kuwa wanapenda huo uchafu. Kiasi cha kuambukiza ushetani huo kwa vijana wengine.wanaotetea huu ujinga wanajitakia kufa tu kwa kutetea uchafu huu. Maana safari hii haponi shoga, basha, msagaji wala watetezi wao. MUNGU hadhihakiwi
Kwa kuongeza wala watoa mimba, wavunja ndoa za watu nk.
 
Hivi kumuingizia mtu kidole nyuma sio ubakaji na udhalilishaji? Ok kwa hio wakiingizwa vidole ndio wanapelekwa mahakamani? Mf leo tukisema waziri Fulani ni shoga, watamuingiza kidole kumpima?
 
Shule nyingi za serikali za bweni hazina vitanda vya kutosha, wanafunzi wanalala wawili wawili kwenye kagodolo kadogo, vijana wenye muhemko mkubwa, shule za kike na kiume, hivi ndio viwanda vya ushoga, sijasikia mbunge Wala waziri anagusia. Inashangaza sana

Kwa hofu kubwa nasema serikali inazalisha mashoga kwa makusudi
 
Back
Top Bottom